Aliyehitimu Form Four anaweza kuchaguliwa kwenda Chuo moja kwa moja wakuu?

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Apr 29, 2020
1,959
2,176
Heshima kwenu wakuu.

Natumai mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa Taifa Letu.

Well, nina wadogo zangu wawili wamemaliza form four wamechaguliwa kuingia Chuo wakiwa na ufaulu wa Division III hili suala ni kawaida au inakuaje Wakuu?

Na pia, kama mmoja anataka kusoma A-Level hataki Chuo ni taratibu gani zinafuatwa au haiwezekani?

Na je, kama wanaingia Chuo vipi suala la mkopo kuna uwezekano wa kupata au hakuna?

Naombeni msaada wenu katika hili wakuu. Natanguliza shukran zangu kwenu wakuu.

Ahsanteni sana.
 
Vyuo walivyochaguliwa ni Vyuo vya ngazi ya cheti au diploma. Hakuna mkopo huko, kuhusu kwenda A level kwa shule za Serikali haiwezekani labda shule za private.

Wamechaguliwa kwenda huko kwasababu kombi hazikubalance yaani mfano anakuwa na credit za biology, kiswahili na civics.
 
Vyuo walivyochaguliwa ni vyuo vya ngazi ya cheti au diploma. Hakuna mkopo huko, kuhusu kwenda A level kwa shule za serikali haiwezekani labda shule za private.

Wamechaguliwa kwenda huko kwasababu kombi hazikubalance yaani mfano anakuwa na credit za biology, kiswahili na civics.

Oooh Owkay nashkuru sana kwa ufafanuzi huu mzuri kiongozi sasa unajuaje kama amechaguliwa kwenda ngazi ya cheti au diploma nini kinaweza kutujulisha ngazi aliyochaguliwa kusoma aidha ni cheti au diploma nitajuaje kiongozi...?

Na umesema hakuna mkopo it means mwanafunzi atajilipia ada pamoja na mambo mengine yote yeye mwenyewe mkuu?

Pia shule za serikali A Level hawawezi kusoma ina maana wakienda private kuna kitu watapoteza baada ya Kuchaguliwa Chuo na kuacha kwenda au haina tatizo hata akienda A Level private school? Na pia akienda private na combi haiku-balance anaweza kusomea kitu gani kwake ikawa nafuu kiongozi?

Ni mapacha hawa mmoja kachaguliwa accountancy na mwengine human resources kwa uelewa na ufahamu wako kiongozi unaweza kutupa ushauri gani katika situation kama hii mkuu?

Ushauri wako ni wa muhimu sana katika hili kiongozi wangu. Nitangulize shukran zangu za dhati kwako.

Nakushukuru sana mkuu.
 
Vyuo walivyochaguliwa ni vyuo vya ngazi ya cheti au diploma. Hakuna mkopo huko, kuhusu kwenda A level kwa shule za serikali haiwezekani labda shule za private.

Wamechaguliwa kwenda huko kwasababu kombi hazikubalance yaani mfano anakuwa na credit za biology, kiswahili na civics.


Uzi umefungwa
 
Oooh Owkay nashkuru sana kwa ufafanuzi huu mzuri kiongozi sasa unajuaje kama amechaguliwa kwenda ngazi ya cheti au diploma nini kinaweza kutujulisha ngazi aliyochaguliwa kusoma aidha ni cheti au diploma nitajuaje kiongozi...

Private ni ruksa
Haimuathiri chochote asipoenda chuo alichopangwa
Ada na mambo yote anajilipia kila chuo kina wda yske
Kuhusu kujua kama kapangwa diploma au cheti
Wanaonesha moja kwa moja kwenye hizo post
Mfano wanaendika kapingiwa certificate in coommunity development
Angalia kwenye hizo utaona
 
Private ni ruksa
Haimuathiri chochote asipoenda chuo alichopangwa
Ada na mambo yote anajilipia kila chuo kina wda yske
Kuhusu kujua kama kapangwa diploma au cheti
Wanaonesha moja kwa moja kwenye hizo post
Mfano wanaendika kapingiwa certificate in coommunity development
Angalia kwenye hizo utaona

BTCAC na BTCHRM hiyo inakuwa ni nini kiongozi...?
 
Basic Technician Certificate in Accountancy na Basic Technician Certificate in Human Resource Management
Huwezi kumaliza form 4 ukaenda diploma lazima uanze certificate kwanza mkuu. Ingekuwa form 6 kama ujafaulu ndo unaanzia diploma.
 
Huwezi kumaliza form 4 ukaenda diploma lazima uanze certificate kwanza mkuu. Ingekuwa form 6 kama ujafaulu ndo unaanzia diploma.

Kwa maana hiyo Cheti hapo mwaka mmoja then diploma miaka miwili halafu apige tena degree miaka 3 jumla 6 au inakuaje mkuu...?

Wakati akiamua kufanya A-Level atapiga miaka miwili akifaulu degree na mkopo anapata au imekaaje wakuu...?

Natanguliza shukran kwenu.
 
Yah tofauti apo n mwaka tu lakn ata akimaliza diploma akiunganisha degree kuna uwezekano wa kupata mkopo pia.. Apo option n yako mwenyewe. Ila mi naona option nzur ni uende chuo mapema na sio a_level coz unagain proffesional yako mapema na unapata vyeti kuanzia certificate na kuendelea, coz kuna kaz nyngne wanataka watu wa certificate au diploma we utakuwa na advantage kuliko mtu wa form six ye anakuwa na chet cha degree tu.
 
Yah tofauti apo n mwaka tu lakn ata akimaliza diploma akiunganisha degree kuna uwezekano wa kupata mkopo pia.. Apo option n yako mwenyewe. Ila mi naona option nzur ni uende chuo mapema na sio a_level coz unagain proffesional yako mapema na unapata vyeti kuanzia certificate na kuendelea, coz kuna kaz nyngne wanataka watu wa certificate au diploma we utakuwa na advantage kuliko mtu wa form six ye anakuwa na chet cha degree tu.

Oooh Owkay hapo nimekuelewa vyema kabisa kiongozi.

Na kwenye diploma pia hawatakuwa na mkopo kiongozi...?
 
Oooh Owkay nashkuru sana kwa ufafanuzi huu mzuri kiongozi sasa unajuaje kama amechaguliwa kwenda ngazi ya cheti au diploma nini kinaweza kutujulisha ngazi aliyochaguliwa kusoma aidha ni cheti au diploma nitajuaje kiongozi...?

Na umesema hakuna mkopo it means mwanafunzi atajilipia ada pamoja na mambo mengine yote yeye mwenyewe mkuu?

Pia shule za serikali A Level hawawezi kusoma ina maana wakienda private kuna kitu watapoteza baada ya Kuchaguliwa Chuo na kuacha kwenda au haina tatizo hata akienda A Level private school? Na pia akienda private na combi haiku-balance anaweza kusomea kitu gani kwake ikawa nafuu kiongozi?

Ni mapacha hawa mmoja kachaguliwa accountancy na mwengine human resources kwa uelewa na ufahamu wako kiongozi unaweza kutupa ushauri gani katika situation kama hii mkuu?

Ushauri wako ni wa muhimu sana katika hili kiongozi wangu. Nitangulize shukran zangu za dhati kwako.

Nakushukuru sana mkuu.
Vyuo ambavyo mwnfunz akichaguliwa moja kwa moja kutoka olevel anapata sponsor ni DIT,ATC,MUST na WDMI analpa only 300k+per year na hela ya field anapata around400k....So kama hawajapangiwa kati ya hivo vyuo jiandae kuwalpia ada tu na mahtaj mengne........
 
Ikiwa wamefaulu vizuri msomo ya science wapeleke wakasome kozi za Chuo cha Madini Dodoma,

Na ada zao ni nafuu sana ukilinganisha na vyuo vingi hapa TZ.
 
Back
Top Bottom