chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Kikao cha Kamati kuu CHADEMA siku ya Pili

    Kamati kuu ya CHADEMA leo May 10 2020, ikiwa ni siku ya pili mfululizo imeendelea na vikao vyake vya kidigitali ikiongonzwa na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, ambapo inapokea taarifa na kujadili kwa kina agenda mbalimbali ikiwemo hali ya janga la corona na hali ya Siasa nchini. "Kufanyika kwa...
  2. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

    Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara. Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na...
  3. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Mwenye ukweli kamili juu ya Mzozo wa Mtangazaji Maulid Kitenge (CCM) na John Mrema (CHADEMA) auweke wazi

    Nimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda. Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye. Asipofanya hivyo nitajiongeza! John Mrema
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa zamani wa Ndanda Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na Spika Ndugai

    Mbunge wa zamani wa Ndanda, Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na mh Spika Ndugai naye ameitikia wito. Mwambe amesema ataukaribisha kwa moyo mweupe ushauri au uamuzi utakaotolewa na Spika wa bunge. Amesema sasa anarejea rasmi bungeni kumalizia muda wake wa ubunge kwa kipindi kilichobaki...
  5. Mystery

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa wabunge wa CHADEMA kutohudhuria Bunge na kujiweka karantini ni sahihi kabisa

    Wiki iliyopita Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Freeman Mbowe, alilitangazia Taifa kuwa wabunge wa Chadema, hawataendelea tena na vikao vya Bunge na wameamua kujiweka karantini kwa siku 14, ili kuangalia afya zao kama wameambukizwa ugonjwa huu wa COVID 19 au laa Ni uamuzi wa busara kabisa...
  6. Mystery

    JamiiForums Tanzania Hivi RC Makonda ametekeleza ahadi yake ya kuwakamata wabunge wa Chadema, aliowaita wazururaji ambao aliwafananisha na changudoa?

    Jana mnamo majira ya saa 6 mchana, tulimsikia RC Makonda, akitoa amri kwa wabunge wa Chadema, ambao waliamua kutoendelea na vikao ya Bunge, kwa kile walichokiita kujiweka karantini kutokana na hofu ya ugonjwa wa COViD 19 Akawapa saa 24 wawe wamerejea kuendelea na vikao hivyo vya Bunge na kama...
  7. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wameweka rekodi ambayo itawagharimu katika harakati za kutaka Madaraka ya nchii hii

    Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama. Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu...
  8. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Napata wasiwasi wabunge wa CHADEMA wanataka kuwafanya nini! Serikali, Bunge wote wanaacha kujadili bajeti wanawajadili

    Kuna anayefikiri kama mimi? 1. Walipoondoka bungeni spika alifurahi na kusema hata wasipokuwepo ccm wanatosha kupitisha mambo yao na cdm hawana madhara yoyote na hawajavunja sheria wala kanuni yoyote. 2. Akaja Rais Magufuli akaonyesha kuumia sana kwa wao kuondoka akatoa amri wasilipwe posho...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: CHADEMA wajiandae kulipa gharama za kesi ya Tundu Lissu kuvuliwa Ubunge

    SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiandaa kulipa gharama za kesi iliyofunguliwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Amesema amepewa nakala ya hukumu kutoka Mahakama Kuu iliyotupilia mbali rufaa yake namba 42 ya mwaka 2019...
  10. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA haijafa, na bila muujiza haitakufa kabla ya Oktoba

    Nimeona niandike juu ya CHADEMA na si kwa Upinzani kwa jumla kwa sababu ndio waliolengwa wafe. Sijui kama ACT-Wazalendo nao wanatakiwa wafe, au wao watavumiliwa wawepo pamoja na usumbufu wanaowapa watawala. CHADEMA sio kwamba wapo tu na wana - 'savaivu' bali wanatambuliwa kuwa ni tishio kubwa...
  11. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Baada ya Uchaguzi, Je Chadema itweza kuishi bila ruzuku?

    Najiuliza hili suali sababu projections za wataalamu was siasa wanaona kama Chadema imeshakufa. Na kwenye uchaguzi ujao huenda isipate hata 5% ya kura zote za uchaguzi ili wapate ruzuku hata kidogo. Maana kila siku wanazidi kuumbuka na kukosa imani kwa wananchi. Hasa hii drama ya kutudanganya...
  12. chakii

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

    Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni. Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni ==...
  13. The Boss

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kwanini inacheza ngoma za Rais Magufuli?

    Kila mtu anajua mpango wa kuivuruga Chadema unavyokwenda. Sasa why Chadema Wana play na mchezo huo? Kwanini wasijifunze kucheza tofauti? Kama mpango ni kuwavuruga mfukuzane ..why msiamue 'hafukuzwi' mtu Kwa sasa? Muache anaetaka kutoka atoke Tu mwenyewe? Why kumjibu mtu kama Makonda...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Zamani CCM walisema Zidumu fikra " sahihi" za mwenyekiti Sasa Chadema wanasema ' Zidumu fikra za mwenyekiti'

    Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza. Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni...
  15. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

    Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda ametoa saa 24 kwa Wabunge wote waliokimbia kushiriki vikao vya Bunge na kwenda Dar es Salaam kula bata, kuhakikisha wanarudi Bungeni tofauti na hapo, watakamatwa kwa kosa la uzururaji kama wanavyokamatwa machangudoa wanaozurura usiku. RC Makonda amesema kwa...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Udhaifu wa Chadema sio Uimara wa CCM!

    Nimeona mjadala mkali na wa kuvutia ukiendelea kuhusu uhai wa vyama vya upinzani hususan Chadema kuelekea 2020. Nikiri mapema kuwa, hatuna vyama vya siasa Bali tuna vikundi vinavyopambana na dola. Hata CCM yenyewe ilikwisha acha siku nyingi kuwa Chama cha siasa badala yake uhai wake unategemea...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA waliohudhuria Bungeni, watakiwa kujiuzulu nafasi za uongozi Bungeni

    Wabunge wa Chadema kwa kauli moja wamependekeza kwamba Wabunge wasaliti walioamua kuhudhuria bunge la corona na kupuuza msimamo wa chama chao wa kujitenga na bunge hilo kwa wiki mbili kama mwongozo wa WHO unavyoelekeza ili kuzuia maambukizi ya Virus hatari vya corona , wametakiwa kuachia nafasi...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini wabunge wanaotoka Chadema na kuhamia CCM wanakuwa na " chuki binafsi" na chama chao cha zamani?

    Tofauti na wabunge wa vyama vingine wanaohamia chama tawala CCM, wabunge wanaotoka Chadema huwa na chuki sana na chama chao cha zamani kana kwamba walifukuzwa. Wabunge wote wa Chadema waliotoka CCM labda ukimtoa Ole millya wakisimama tu bungeni jambo la kwanza ni kuikejeli Chadema. Hata huyu...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: Bunge la bajeti ni takwa la kikatiba haliwezi kuahirishwa, Chadema wanatafuta huruma ya kisiasa lakini wamechelewa

    Balozi wetu huko Sweden amesema bunge la bajeti ni takwa la kikatiba hivyo haliwezi kuahirishwa kwa sababu zozote. Katiba inatamka wazi kuwa bunge la kbajeti litakaa kwa siku zisizozidi 45 ukiondoa week end na sikukuu hivyo hakuna namna unaweza kuahirisha na wabunge wanalijua hilo. Pili Dr...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Pamoja na katazo la Kiongozi wao, Wabunge kadhaa wa CHADEMA wakiwemo Silinde na Lijualikali wahudhuria bungeni

    Wabunge wawili wa Chadema, David Silende (Momba) na Peter Lijualikali (Kilombero) wamehudhuria bungeni leo licha ya chama chao kuwataka wabunge wake kutohudhuria vikao vya Bunge ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona Mbunge wa Kilombero (Chadema), Peter Lijualikali, Hivi karibuni...
Back
Top Bottom