Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 545
- 684
Nimeweka nia ya kumchukulia fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Sheikh Mselem Ali kwa tiketi ya Chadema kesho tar 20/07/2020
Sheikh Mselem Ally ana haki ya kuchaguliwa kama walivyokuwa na haki waznz wengine.
Haya ni maono yangu binafsi kama Mtanzania. Kulalamika tu pembeni bila kuchukua hatua yeyote hakutowasaidia wafungwa hawa kutoka kifungo walichofungwa bila ya kushtakiwa.
Kura zetu ndio silaha pekee ya kuwaweka Viongozi hawa HURU.
Narudia tena, haya ni maono yangu binafsi. Hata hivyo naamini maono haya yanaakisi maono ya Wazanzibar walio wengi.
Hatutaki kuathiri mchakato wa kuunganisha nguvu za vyama kushirikiana. Hata hivyo tunadhani Sheikh Mselemu Ally ni mgombea bora na anakubalika zaidi ya wagombea wote wa Urais Znz.
Pamoja na ubora alionao hata hivyo tunahitaji waznz wampigie kur ya HURUMA.
Pamoja na kuwa mchakato huu kuchukua na kurudisha fomu utafungwa rasmi kesho hata hivyo tunaamini chama kinaweza kuongeza siku walau moja zaidi ili tuweze kupata wasaa wa kuongea na vyombo vya habari kwa nia ya kuwahabarisha waznz ujio wa Sheikh Mselem ktk nyanja za siasa.
NB. Sheikh Mselemu kwasasa si mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Na Sijatumwa na mtu yyt ktk zoezi hili, Bali ni maono yangu binafsi, nikiamini yatapokelewa na znz wengi.
Baada ya mchakato huu kukamilika ndipo tutakapoenda kwa Shekh Mwenyewe kumuomba akubali ombi hili la watanzania wengi.
Sheikh Mselem Ally ana haki ya kuchaguliwa kama walivyokuwa na haki waznz wengine.
Haya ni maono yangu binafsi kama Mtanzania. Kulalamika tu pembeni bila kuchukua hatua yeyote hakutowasaidia wafungwa hawa kutoka kifungo walichofungwa bila ya kushtakiwa.
Kura zetu ndio silaha pekee ya kuwaweka Viongozi hawa HURU.
Narudia tena, haya ni maono yangu binafsi. Hata hivyo naamini maono haya yanaakisi maono ya Wazanzibar walio wengi.
Hatutaki kuathiri mchakato wa kuunganisha nguvu za vyama kushirikiana. Hata hivyo tunadhani Sheikh Mselemu Ally ni mgombea bora na anakubalika zaidi ya wagombea wote wa Urais Znz.
Pamoja na ubora alionao hata hivyo tunahitaji waznz wampigie kur ya HURUMA.
Pamoja na kuwa mchakato huu kuchukua na kurudisha fomu utafungwa rasmi kesho hata hivyo tunaamini chama kinaweza kuongeza siku walau moja zaidi ili tuweze kupata wasaa wa kuongea na vyombo vya habari kwa nia ya kuwahabarisha waznz ujio wa Sheikh Mselem ktk nyanja za siasa.
NB. Sheikh Mselemu kwasasa si mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Na Sijatumwa na mtu yyt ktk zoezi hili, Bali ni maono yangu binafsi, nikiamini yatapokelewa na znz wengi.
Baada ya mchakato huu kukamilika ndipo tutakapoenda kwa Shekh Mwenyewe kumuomba akubali ombi hili la watanzania wengi.