johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Maneno huumba.
David Silinde kwa kutamka hadharani kwamba yeye ni "Chawa" kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni alikuwa akiitumikia CCM kwa siri amefungua mlango kwa maadui wa CCM kuweza kumtumia kwa sababu anaweza "kutumika"
Binafsi sikutegemea kauli kama hii itoke kwa mwanasiasa kijana, hata hivyo nawapongeza wajumbe wa Tunduma kwa kulijua hilo na kufanya maamuzi sahihi.
Maendeleo hayana vyama!
David Silinde kwa kutamka hadharani kwamba yeye ni "Chawa" kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni alikuwa akiitumikia CCM kwa siri amefungua mlango kwa maadui wa CCM kuweza kumtumia kwa sababu anaweza "kutumika"
Binafsi sikutegemea kauli kama hii itoke kwa mwanasiasa kijana, hata hivyo nawapongeza wajumbe wa Tunduma kwa kulijua hilo na kufanya maamuzi sahihi.
Maendeleo hayana vyama!