Kama David Silinde aliitumikia CCM kwa siri kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni inawezekana sasa anaitumikia CHADEMA akiwa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,897
141,831
Maneno huumba.

David Silinde kwa kutamka hadharani kwamba yeye ni "Chawa" kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni alikuwa akiitumikia CCM kwa siri amefungua mlango kwa maadui wa CCM kuweza kumtumia kwa sababu anaweza "kutumika"

Binafsi sikutegemea kauli kama hii itoke kwa mwanasiasa kijana, hata hivyo nawapongeza wajumbe wa Tunduma kwa kulijua hilo na kufanya maamuzi sahihi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hata hivyo amepata kura nyingi sana tofauti na tulivyodhani.

Naona Kama ana nafasi kubwa ya kupitishwa na mamlaka za juu.

Kama alitumika CCM akiwa chadema unategemea anaipenda chadema? Yaani awe CCM aitumikie chadema?

Sidhani.
 
Mliona mmelamba dume, subirini atoboe sidiria zenu
emoji38.png
 
Hata hivyo amepata kura nyingi sana tofauti na tulivyodhani.

Naona Kama ana nafasi kubwa ya kupitishwa na mamlaka za juu.

Kama alitumika CCM akiwa chadema unategemea anaipenda chadema? Yaani awe CCM aitumikie chadema?

Sidhani.

Huyo ni double agent wa tumbo lake.
 
Infantry Soldier nimeipigia kura Tanzania. Wewe mzalendo mwenzangu unasubiri nini mpaka sasa?????

ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. IPIGIE KURA YA NDIO NCHI YAKO ISHINDE. PLEASE PLEASE PLEASE.

Tanzania has been nominated for the 27th World Travel Awards 2020. To WIN in the nominated categories your SUPPORT and VOTE is much NEEDED. The voting ends on 22 August 2020.

To vote use the following link Vote Vote – World Travel Awards then log in or register for new account.

Vote for Tanzania to win the categories of:

(1) Africa's leading airport

(2) Africa's leading tourist attraction

(3) Africa's leading beach destination

(4) Africa's leading destination

(5) Africa's leading national park

(6) Africa's leading tourist board

YOUR VOTE COUNTS!
Kuwa mzalendo ni pamoja na kuwa wakweli hivyo tusiudanganye ulimwengu.

Kwa vilivyoorozeshwa vingi tunastahili kabisa kuongoza ila kwa Airport, beach destination na bodi yetu ya utalii bado tuko nyuma sana hivyo tuweni tu wawazi.

Ukiona nimepotosha ruksa kuuliza nikufafanulie vizuri.
 
Tuaendelea kupoteza vijana ambao ndio kesho yetu kisiasa, mpaka pale ambapo tutasafisha taratibu za kuendesha nyumba yetu, ikiwa pamoja na kwenda na muda.

Kama tutakuwa na lack of dynamism katika kuendesha chama tutapoteza sana mitaji. Na tujitahidi kuvumilia michango ya mawazo ambayo itaboresha chama.

Tusiwachukie wenye kutuonyesha mapungufu yetu na kama kweli yapo, kukataa kwetu kutatufanya tufikie tukose uwakilishi wa kutosha.
 
Yote ni mema kwa kila pande ila naimani muosha huoshwa.. alicho fanya CCM 2015 kwa upinzani ndicho kitakacho mrudia sina hakika ni lini ila muda utaoa majibu sahihi kama tutakuwa hai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom