johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,830
Mapacha Selestine na Imelda wameshinda kura za maoni katika majimbo ya Ulanga na Malinyi mkoani Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Awali mapacha wa CCM Kulwa na Dotto Biteko walishinda kura za maoni katika majimbo ya Busanda na Bukombe.
Tofauti na mapacha wa CCM hawa wa CHADEMA ni wanawake hivyo kwa kuwa CCM ni chama Dume hakuna tatizo, kitaelewka mjengoni.
Maendeleo hayana vyama!
Awali mapacha wa CCM Kulwa na Dotto Biteko walishinda kura za maoni katika majimbo ya Busanda na Bukombe.
Tofauti na mapacha wa CCM hawa wa CHADEMA ni wanawake hivyo kwa kuwa CCM ni chama Dume hakuna tatizo, kitaelewka mjengoni.
Maendeleo hayana vyama!