YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Chama imara hujenga brand name ya chama siyo majina ya watu. CHADEMA huhangaika sana kujenga majina ya watu badala ya chama. Utasikia ohh Mbowe, ohh Mdee, ohh Lissu hakuna zaidi ya hao!
Sasa kuna yale maeneo wabunge wa CHADEMA waliohamia CCM kuna ombwe kubwa. Wameweka watu wa ajabu ajabu sababu hawana replacement ya kueleweka sababu hawakuwekeza kwenye brand name ya chama zaidi waliwekeza kwenye personal name promotion. Wakihimiza zaidi watu kuchagua mtu na sio chama!
Wana CHADEMA wamejengwa zaidi kupenda mtu na sio chama zaidi hii inaenda igharimu CHADEMA uchaguzi mkuu
Sasa kuna yale maeneo wabunge wa CHADEMA waliohamia CCM kuna ombwe kubwa. Wameweka watu wa ajabu ajabu sababu hawana replacement ya kueleweka sababu hawakuwekeza kwenye brand name ya chama zaidi waliwekeza kwenye personal name promotion. Wakihimiza zaidi watu kuchagua mtu na sio chama!
Wana CHADEMA wamejengwa zaidi kupenda mtu na sio chama zaidi hii inaenda igharimu CHADEMA uchaguzi mkuu