chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Erythrocyte

    Kumekucha: CHADEMA Kanda ya Nyasa kuzungumza na Waandishi wa Habari Iringa Mjini

    Kaa tayari kwa hoja nzito . Wote mnakaribishwa
  2. Erythrocyte

    Nawatakia heri ya Mwaka mpya wa 2020 Viongozi, wanachama na wapenzi wote wa Chadema nchi nzima. Mungu yuko pamoja nanyi

    Hakuna haja ya maneno mengi, kichwa cha habari kinajieleza. Nimeamua kwa moyo wa dhati kabisa uliojaa upendo mkuu kuwatakieni Heri ya: Viongozi , wanachama na wapenzi wote wa Chadema ikiwa ni pamoja vyama rafiki vyote tunavyoshirikiana navyo kwenye harakati za ukombozi wa nchi yetu ...
  3. Erythrocyte

    CHADEMA kuipinga Sheria ya Utakatishaji Fedha Mahakamani

    Wakuu natanguliza salamu za Mwaka mpya , baada ya salamu hizi najikita moja kwa moja kwenye hoja . Chama cha Demokrasia na maendeleo kanda ya Pwani kimeandaa Mawakili wawili watakaofungua kesi Mahakamani ili kupinga sheria ya " kishenzi " ya utakatishaji fedha Hayo yamesemwa na Makamu...
  4. Mapambano Yetu

    CHADEMA sasa kataeni uonevu huu kwa Vitendo. Maxence Melo hauko salama, ona unavyojadiliwa

    Nianze kwa kutoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kukataa uonevu kwa vitendo. Ushauri wangu ni kwamba: 1. Mkifuatiliwa na magari ambayo yanautata, toeni taarifa Polisi wasipojibu au kuchukua hatua kwa haraka, tumieni kila njia angalau hata gari moja inayowafuatilia ichomwe moto. Hakikisha muwe na...
  5. Mmawia

    Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

    Wana MWANZA wamempokea Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya Chifu wa Wasukuma. Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya CCM na CHADEMA...
  6. comte

    Hivi hii No hate No fear ya CHADEMA imekaaje?

    Huwa najiuliza hivi siku upinzani ukichukua nchi utaanza kutatua kero za wananchi moja kwa moja au utaanza kulipa kisasi? Kukamata kamata watu na kusukuma ndani? kukumbushia wapi walionewa kama jibu litakuwa ni kuwakaMAta wakina Makonda, wakina Hapi wakina Mzee Magufuli (bila kujali kinga)...
  7. J

    Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

    Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa. Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua...
  8. N

    Mdude chadema amtuhumu afande Niko wa kitengo cha madawa Kurasini kwa utekaji watu

    Anadai afande huyu ni mtekaji a.k.a mtu aiyejulikana na kamuomba IGP amchukulie hatua kitu ambacho tunajua hakitawezekana hahahahahahahahahahaaaaa
  9. J

    Chadema na ACT Wazalendo wanaweza kutumika na wabobezi wa siasa kali

    Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa. Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia. Nawashauri...
  10. Mwanahabari Huru

    Tundu Lissu: Salamu za sikukuu ya Noeli na Mwaka Mpya kwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

    Kwa viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama chetu na Watanzania wote kwa ujumla, PEOPLE'S Naomba nianze kwa kuwapa salamu za msimu huu wa Sikukuu ya Noeli na kuwatakia kila lenye kheri katika Mwaka Mpya unaokuja. Pili, naomba kuwapongeza kwa kukamilisha Uchaguzi Mkuu wa Chama chetu katika...
  11. Erythrocyte

    Dr Mashinji ambaye ni Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA amkabidhi ofisi Katibu Mkuu mpya John Mnyika

    Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema Mungu ibariki Chadema
  12. CalvinKimaro

    Tumsaidie Katibu Mkuu mpya (CHADEMA)

    Tumsaidie Katibu Mkuu Mpya VIPAUMBELE POTOFU: 1. Kudai tume huru 2. Kuandaa wagombea uchaguzi mkuu 3. Chadema ni msingi 4. Chadema digitali 5. Ilani ya uchaguzi VIPAUMBELE SAHIHI: 1. Kusimamia na kutoa Mapato na matumizi 2. Kuhakikisha chama kinajivua sifa ya ukanda 3. Kurekebisha...
  13. J

    Mbunge wa Chadema aonekana Lumumba akiteta na mwenezi wa CCM

    Mbunge wa Chadema ( jina linahifadhiwa kwa sasa) ameonakana katika mtaa wa lumumba akiwa na mwenezi wa CCM wakiteta jambo lililoonekana kuwa la muhimu sana. Tusubiri kidogo labda wanaccm mtapatiwa zawadi ya Krismas. Maendeleo hayana vyama!
  14. J

    2019 umekuwa mwaka mgumu kwa CHADEMA lakini wenye mafanikio kwa CCM na ACT Wazalendo

    Kiukweli mwaka 2019 unaoelekea ukingoni umekuwa mgumu sana kwa Chadema ambayo ilikimbiwa na wabunge wake wengi. Kadhalika ni mwaka ambao Chadema ilimpoteza mwanachama wake maarufu kuliko wote mzee Lowassa aliyehamia CCM. Pia mzee Sumaye na mzee Mgeja na kundi kubwa la madiwani waliamua kuachana...
  15. Sky Eclat

    Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa John Mnyika aongea na Wanahabari

    ===== Dar es Salaam. Katibu Mkuu mpya wa Chadema, John Mnyika ameanisha vipaumbele vitano vya chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Mnyika aliyeteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kuwa katibu mkuu Desemba 20, 2019 kuchukua nafasi...
  16. J

    Kwanini CHADEMA na CCM haziwaamini wanawake kwenye nafasi za juu za uongozi kama Mwenyekiti, Makamo, Katibu mkuu na manaibu wake?

    Kama wanawake wameshafikia viwango vya kuwa makamu wa Rais wa JMT na Spika wa bunge iweje kwenye nafasi za juu za uongozi wa chama hatuwaoni? Nakumbuka ACT wazalendo imewahi kuwa na mwenyekiti ambaye ni mwanamama kadhalika NCCR ilikuwa na makamu mwenyekiti mwanamama. Cuf ina Katibu mkuu...
  17. Erythrocyte

    Kuhusu Tito Magoti , RPC Mambosasa asiaminiwe , Aliwahi kukiri Polisi kumuua Akwilina lakini baadaye alikana na kuwasingizia Chadema

    Huyu ni miongoni mwa Ma RPC wa nchi hii wasioaminika , Kwa mfano , Mapema baada ya Polisi kufyatua risasi za moto kwenye mkusanyiko wa Chadema maeneo ya Kinondoni Mkwajuni , Mambosasa alijitokeza hadharani na kukiri polisi kuhusika ( hapa jf zipo clip zake kuhusu jambo hili ) , baadhi ya...
  18. Erythrocyte

    Benson Kigaila ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema upande wa Tanganyika ni nani hasa ?

    Huyu ni kiongozi wa Chadema anayetokea Mkoani Dodoma , inasemekana kitaaluma ni Mwalimu , sijui alifundisha wapi na alifundisha nini , lakini amehudumu Makao Makuu ya Chama katika Ukurugenzi kwa kipindi kirefu , ni kiongozi Shupavu asiye muoga na wala hajawahi kumung'unya maneno , hapa ndipo...
  19. R

    CHADEMA haina chuki na CCM, lakini CCM ina chuki na CHADEMA hivi ni kwanini?

    Haya yote mabaya wanayofanyiwa CHADEMA na serikali ya CCM hivi kwanini CCM mnaichukia CHADEMA? =====
  20. B

    Nakuuliza CHADEMA

    Kweli Chadema mmefanikiwa kufanya mkutano mkuu pamoja na uchaguzi kwa mafanikio, kwa hilo nakupa hongera je chadema mmejua au mmefanya utafiti nakujua ni watu wangapi walifatilia mkutano wenu? Je mnajua nguvu ya vyombo vya habari katika kupeleka habari, kuhamasisha na kuhabarisha? Kama kweli...
Back
Top Bottom