Kweli Chadema mmefanikiwa kufanya mkutano mkuu pamoja na uchaguzi kwa mafanikio, kwa hilo nakupa hongera
je chadema mmejua au mmefanya utafiti nakujua ni watu wangapi walifatilia mkutano wenu?
Je mnajua nguvu ya vyombo vya habari katika kupeleka habari, kuhamasisha na kuhabarisha?
Kama kweli...