Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.
Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita Askofu Gwajima mrembo.
Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.
Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.
Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.
Mwe mwe mwe.. Halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?
Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.
Halimaaa nasikia bishop sasa hivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.
Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita Askofu Gwajima mrembo.
Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.
Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.
Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.
Mwe mwe mwe.. Halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?
Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.
Halimaaa nasikia bishop sasa hivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.
Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.