chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Erythrocyte

    Sare Mpya ya Chadema Usipime ! Mamluki wapigwa chenga ya mwili

    Taarifa zinadokeza kwamba sare mpya za chadema zimedhibiti njama za kishamba za mamluki kuvalishwa sare za zamani za Chadema na kujitokeza kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kupinga maamuzi ya vikao na kutukana viongozi , hakika kikosi cha usalama cha Chadema kiko makini kuliko wanafiki...
  2. J

    Chadema ni kama vile wanabet Mbowe yuko mahakamani na Tundu Lisu yupo uhamishoni wamebaki Sugu na Lema

    Kupanga ni kuchagua na mara zote umakini unahitajika sana. Chadema inakwenda kwenye uchaguzi mkuu utakaompata Mwenyekiti na makamu wake pamoja na kamati nzima ya utendaji. Miongoni mwa wagombea wa nafasi hizo ni mh Mbowe na wakili msomi Tundu Lisu bila kumsahau mh Mwambe. Angalizo muhimu...
  3. Pascal Mayalla

    Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

    Wanabodi, Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa siku zote huwa nailaumu Chadema kuwa hawajitambui na hawajui wanataka nini!. sasa kesho Chadema wanafanya uchaguzi wa Mwenyekiti, swali ni jee sasa Chadema wanajitambua?, jee wanajua wanataka...
  4. Mr worldwide

    Uenyekiti wa Chadema hauwezi, urais wa Jamhuri ya Muungano Lissu atauwezea wapi?

    Good morning people! Inasemekana kwamba mwaka 2020 Chadema imepanga kumsimamisha Tundu Lissu kuwania kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya CCM ya Magufuli. Inaleta walakini kama mtu anayejinadi kuwa na uwezo wa kuongoza nchi kushindwa kuongoza chama chenye wanachama milion...
  5. R

    Mwambe hili linakuondolea sifa ya kuwa mwenyekiti/kiongozi CHADEMA

    Jana ulitoa kauli ambayo haitegemewi kutoka kwenye kinywa cha mtu anayewania kuwa Mwenyekiti, eti: Ruzuku itawekwa wazi na si kama ilivyo sasa ambapo ni siri ya viongozi wachache! Eti utajenga Jengo la ofisi ya chama na blah blah nyingi. Sawa ni haki yako kutoa mawazo yako, bila kuingiliwa...
  6. M

    Kamati Kuu ya CHADEMA kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa

    Sasa ni Rasmi.Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chao leo cha kikatiba kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano Desemba 18. Katika kuonyesha kukomaa kwa Demokrasia ndani ya chama hicho Kamati Kuu iliwahoji wagombea...
  7. M

    Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ajitoa kugombea umakamu mwenyekiti wa CHADEMA, amuachia Lissu

    Wakati Kamati Kuu ikiendelea na uchujaji wa majina ya wagombea nafasi za Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti CHADEMA Taarifa za hivi punde zinasema Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara Saed Kubenea amejitoa. Kubenea amesema amejitoa kwa sababu anaamini mgombea mwenzake Tundu Lissu anafaa kushika...
  8. J

    Mzee Lowassa awatakia uchaguzi mwema CHADEMA. Zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi hutokea kisulisuli!

    Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli. Siasa sio uadui Maendeleo hayana vyama!
  9. Erythrocyte

    Kamati Kuu ya CHADEMA yaanza vikao vya kusaili Wagombea wa uongozi wa juu wa Chama

    Uchaguzi wa viongozi wa Chadema Taifa umeshika kasi , tayari Kamati kuu ishaanza vikao vya usaili wa walioomba uongozi wa juu Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa zaidi . ====== Kamati Kuu ya (CHADEMA) Taifa inaketi leo Jumatatu Disemba 16, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es...
  10. J

    Mwambe: Tusisubiri CCM idhoofike ndio CHADEMA tuonekane imara, tujipange sasa kwa mabadiliko

    Nimekutana na hii taarifa huko mitandaoni mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema akiwasa wapenda mabadiiliko wajipange kuanzia sasa. Mgombea huyo amesema uimara wa Chadema kamwe hautatokana na udhaifu wa CCM bali mipango na mikakati waliyojiwekea ya kutwaa dola na kuleta mabadiliko. Hivyo...
  11. Jaji Mfawidhi

    Zama za Magufuli wanasiasa wanaume wamebaki CHADEMA

    ZAMA ZA MAGUFULI NI RAHISI KUWAJUA WANAUME NA WANAWAKE! NA Luqman Maloto KUNA "male" yenye kumaanisha jinsia ya kiume na "man" ambayo maana yake ni mwanaume. Kuna "female" yaani mwenye jinsi ya kike na "woman", mwanamke. Awamu ya President Magufuli ni rahisi sana kuijua tofauti kati ya wenye...
  12. M

    Kishindo Mkutano Mkuu CHADEMA ; Mabalozi na Taasisi za Kimataifa wathibitisha kushiriki!

    Itakuwa historia.Ndivyo tunavyoweza kusema kwani mkutano mkuu wa CHADEMA Desemba 18 utahudhuriwa na taasisi na mashirika makubwa ya ndani na nje ya nchi pengine kwa mara ya kwanza katika historia ya mikutano mikuu ya vyama. Chanzo kimoja cha Taarifa kutoka ndani ya chama hicho chenye wanachama...
  13. J

    Vikao vya CCM vimeufunika uchaguzi mkuu wa Chadema, Mbowe na Mwambe wasahaulika katika mijadala

    Kiukweli uchaguzi mkuu wa Chadema kwa sasa unakwenda kimya kimya na hii ni kutokana na vikao vya kihistoria vya CCM vinavyofanyika jijini Mwanza. Habari kuu katika media zote imekuwa ni vikao vya CCM, na hata uchaguzi wa Bavicha na Bawacha umejulikana zaidi kwa wana Ufipa wenyewe. Na hii ni...
  14. Nigrastratatract nerve

    Labour party kimepoteza viti 42, Conservative kimeongeza viti 66. Campaign ya CHADEMA DIGITAL imefeli kabla haijaanza

    Nimekuwa nikifuatilia sana mikakati ya Mheshimiwa Mbowe katika kuhakikisha Chama Cha CHADEMA kinashika dola lakini nimegundua kuwa tatizo la Mbowe hajengi Taasisi anajenga Mali yake binafsi maana ukianzia anvyoongea yaani anakuwa mkali kana kwamba anaendesha kampuni yake binafsi. Mbowe...
  15. masopakyindi

    CHADEMA na Mbowe somo hili lakuhusu: Jeremy Corbyn kashindwa uchaguzi, kujiuzulu muda wowote!

    Huko kwa bibi, Malkia wa Uingereza, uchaguzi ndo umeisha na mshindi ni Boris Jonon wa chama cha mabwanyenye. Jeremy Corbyn wa chama cha wavuja jashi ameshindwa. Kwa demokrasi kabisa Corbyn atajiuzulu muda wowote kukiongiza chama chake. SOMO Mbowe alitakiwa ajiuzulu muda mrefu uliopita, lakini...
  16. idawa

    Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

    Chama cha Mapindizi CCM kimeridhia kwa kauli moja kuwasamehe Nape, January Makamba na Ngeleje hata hivyo wamepewa onyo kali wasirudie tena kosa hilo. Hata hivyo kimeagiza kwa kauli moja kuhojiwa kwa Makatibu wakuu wastaafu Kinana na Makamba pamoja na Waziri wa Zamani Ndugu Bernard Membe...
  17. Petro E. Mselewa

    Achilia mbali ruzuku na michango, CHADEMA ina vyanzo gani vya mapato?

    Binafsi naamini kuwa chama cha siasa ni taasisi. Naamini hivyo pamoja na kutowahi maishani mwangu kujiunga na chama chochote cha siasa hapa Tanzania na kwingineko. Kama taasisi, chama hujiendesha kwa gharama. Kuna kuwalipa waajiriwa wa chama, kugharimia shughuli za kila siku za chama,kugharimia...
  18. M

    Freeman Mbowe azindua siasa mpya za CHADEMA huku akitangaza idadi rasmi ya wanachama

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amesema baada ya kuzuiliwa mikutano ya hadhara kwa hila chama hicho kimeimarika maradufu. Akihutubia mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema katija ukumbi wa Mlimani City kiongozi huyo amesema chama hicho kiliamua kufanya siasa mpya za kuzunguka kata...
  19. Mzalendo_Mwandamizi

    Lowassa kurudi CCM ni ahueni kwa "wasaliti"

    Tulioamua kuacha kuiunga mkono Chadema baada ya kumpokea "fisadi" Lowassa Julai 2015 tuliitwa kila aina ya majina mabaya. Juu kabisa ya orodha ndefu ya majina hayo ni "wasaliti." Dokta Slaa pia hakusalimika kutopachikwa jina hilo. Fast forward to March 2019, Lowassa aliyepelekea baadhi yetu...
  20. MsemajiUkweli

    Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

    Zitto Kabwe amewashutumu viongozi wa upinzani walioenda kwenye sherehe za uhuru, Mwanza na kupanda jukwaani kuomba maridhiano ya kisiasa kwa Rais Magufuli. Ametoa shutuma hizo kupitia mitandao ya kijamii akidai walichofanya ni kujipendekeza kwa Rais ili waachiwe nafasi chache za ubunge mwaka...
Back
Top Bottom