chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. H

    Dr Tulia Ackson anawatesa Sana mashabiki wa CHADEMA

    Tokea ndugu Tulia Ackson atangaze mwaka Huu kutaka Jimbo la Mbeya mashabiki wa CHADEMA wamekuwa wakimuandama na nyuzi zake zimekuwa nyingi Sana humu jamvini zikianzishwa na wanachadema. Hii Hali imenishangaza kidogo kwani Tulia Ackson akigombea mbeya ukiwa wewe si mwana mbeya unapungukiwa Nini...
  2. J

    Katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika afiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza

    Mahakama ya Kisutu jana ilielezwa kuwa mshtakiwa JJ Mnyika ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA ameshindwa kuhudhuria kesi baada ya kufiwa na baba yake mdogo huko Misungwi mkoani Mwanza. Mazishi yalifanyika jana. Mungu ampumzishe kwa amani Source: Star Tv
  3. Mmawia

    Je, Lissu yupo nchini?

    Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm. Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habari Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Mafanikio ya mikutano na makongamano ni pamoja na Wajumbe kuvaa sare nzuri, CCM jifunzeni kwa CHADEMA

    Huu ni ushauri tu ambai unaweza kupokelewa au kukataliwa. Inawezekana kabisa kuwa CCM hawamind mambi ya kupamba kumbi zai za mikutano, basi wazingatie hata unadhifu wanapovaa sare zao mikutanoni na kwenye makongamano. Unamkuta mwanaccm amevaa sare iliyochanika au yenye viraka hii si sawa kwa...
  5. Determinantor

    Meya wa Dar es Salaam, Isaya Mwita achukuliwa na Polisi akiwa kwenye kikao

    Kwa mujibu wa taarifa ya Chadema kanda ya Pwani, ni kwamba Mstahiki Mayor amechukuliwa na watu wanaosadikika kuwa ni watu wa usalama. More news to follow ====== Meya wa Jiji la Dar, Isaya Mwita (CHADEMA) akiongoza kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi, leo tarehe 16 Januari 2020, katika ukumbi...
  6. Albert Einstein

    Matabaka yanavyoitafuna CHADEMA na kuvuruga Ustawi wa chama chetu

    CHADEMA haipo salama hata kidogo kutokana na kuwepo kwa matabaka ndani ya chama hicho yana wakatisha tamaa wanachama wa chini wenye mapenzi ya dhati na chama hicho. Ni ajabu sana kuona ndani ya chama kimoja kunakua na matabaka zaidi ya saba. Tabaka la viongozi wakuu akiwamo Mwenyekiti Mbowe wao...
  7. Erythrocyte

    Tathmini : 2019 CHADEMA iliendelea kutawala mitandaoni na kwenye vyombo vyote makini vya habari vya ndani na nje ya Nchi

    Baada ya kufanya upembuzi yakinifu kuhusu siasa za Tanzania nimeona kwa macho yote kwamba Chama cha siasa cha kisasa cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Ndio chama kilichotamba mitandaoni kwa kujadiliwa mara nyingi zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa nchini Tanzania, huku kwa mbali...
  8. TUNTEMEKE

    GE2020 CHADEMA kupoteza majimbo yafuatayo

    Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura. Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano. HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda...
  9. J

    Kwanini CHADEMA haijashiriki sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar?

    Katika sherehe za Uhuru wa Tanganyika uongozi wa Chadema ulikodi ndege ya kifahari kuelekea jijini Mwanza kushiriki maadhimisho hayo, tukawapongeza. Leo tulitegemea kuwaona jijini Zanzibar lakini tukawaona Prof Lipumba, Mzee Shibuda na wengine bila uwepo wa Mbowe wala yule mzanzibari Salumu...
  10. Erythrocyte

    Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema Mh Mnyika yatikisa Kibamba, awaasa wanahabari kupigania Tume huru ya uchaguzi, Kabendera na Magoti watajwa

    Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu...
  11. Influenza

    Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

    Kikao cha Baraza la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania cha kujadili tuhuma zinazomkabili Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita kimesimama kwa muda baada ya jina la mjumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) kusainiwa wakati hayupo ukumbini. Kikao hicho kinafanyikia ukumbi wa Karimejee jijini...
  12. N

    Wakati umefika kwa CHADEMA kutangaza tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu kuwa tukio la kigaidi

    Ni miaka sasa tangu Mbunge Shujaa wa taifa Tundu Anthipas Mughwai Lissu (TAML) kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku dalili zikionyesha kuhusika kwa baadhi ya watu wenye mahusiano na serikali ya CCM na vyombo vya usalama. Ushauri wangu ni kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
  13. V

    Kwanini viongozi wa Kanda CHADEMA wengi ni wabunge?

    Najaribu kujiuliza huwa sipati majibu. Kwa nini viongozi wengi wa kanda wa chadema ni wabunge. Hivi hakuna watu wengine kwenye kanda wakagombea hizi nafasi ili baadae waje kugombea nafasi za kitaifa au ubunge? Kumpa nafasi ya kiongozi wa kanda mbunge fulani kusema kweli ni kumtwisha zigo...
  14. K

    Lazaro Nyalandu ndiye atakuwa mgombea wa CHADEMA kwa mawazo yangu

    Mwana Ilboru mwenzangu Lazaro ndiye atakuwa mgombea wa Chadema mwaka huu 2020 kama wataruhusiwa kushiriki uchaguzi. Nilikutana naye 2011 Virginia kwenye mkutano na bahati nzuri nilikuwa namfahamu tangu Ilboru nikamwambia kiutani personality yako inaendana zaidi na upinzani. Vilevile nilisoma...
  15. Erythrocyte

    Hatimaye Diwani wa Chadema Tunduma, Ayubu Sikagonamo aachiwa kwa dhamana. Amesoteshwa rumande kwa kusingiziwa uhujumu uchumi kwa miezi mingi sana

    Mh Ayubu Sikagonamo ameachiwa kwa dhamana hatimaye. Hongereni sana Chadema Kanda ya Nyasa kwa ushindi huu. Mh Ayubu Sikagonamo alisingiziwa ujambazi, polisi wakatengeneza filamu ya kuokota silaha nyumbani kwake, baada ya ushahidi kukosekana wakamtengenezea Uhujumu Uchumi kwa kushirikiana na Mh...
  16. Erythrocyte

    Tunakuomba Katibu Mkuu wa CHADEMA ufanye ziara maalum mikoa wa Songwe na Mbeya

    Nafahamu kwamba baada ya kuingia ofisini bila shaka unayo mipango mingi sana ya kukipeleka chama mbele zaidi, hilo wala sina shida nalo hata chembe, bali nakuomba kwenye ratiba yako ya mwezi January upange kutembelea chama chako kwenye maeneo niliyoyaainisha hapo juu. Ukifika Kyela tutajitahidi...
  17. K

    Miaka 16 bila mabadiliko kwenye mfumo wa CHADEMA: Je ni mabadiliko gani wanayopigania kuyaleta Tanzania?

    Mada hii itajikita katika kuuchambua mfumo wa CHADEMA wa Mhe. Mbowe uliopo kwa miaka 16 sasa na utaendelea kuwepo kwa kadiri Bw. Mbowe atakapoona ni wakati wa kumwachia mwingine anayemuona anafaa. Jicho la Mbowe ndio linapendekeza na kuchagua nani amrithi, hii inatokana na kauli yake mwenyewe...
  18. Erythrocyte

    CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji . Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama...
  19. M

    Madai ya CHADEMA Kanda ya Pwani kuhusu Kero ya mabasi ya mwendokasi yamuibua Waziri

    Kaimu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Baraka Mwago amezungumzia Kero kubwa ya Mabasi ya mwendokasi inayowakumba wakazi wa Dar es Salaam. Katika Salaam zake za mwaka mpya kwa Wakazi wa Kanda ya Pwani kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini alisema magari ya mwendokasi yamekuwa...
Back
Top Bottom