1 September 2020
Dodoma, Tanzania
Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"
Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.
2 September 2020
Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea
Dodoma, Tanzania
Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"
Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.
2 September 2020
Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea