Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Tanzania (CHADEMA) kimesema baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wake, Dkt. Vicent Mashinji kujiunga CCM, wapo wanachama wa chama hicho watakaomfuata.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Februari 18, 2020 Mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi, Mawasiliano na Mambo ya...