chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Wale wanao hitaji muda wa ziada

  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mzee wa miaka 90 Askari mstaafu ajitolea kuwa wakala CHADEMA

    Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
  3. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ilani za Uchaguzi: CCM na CHADEMA zinakubaliana kwenye Bima kwa Wote, Maslahi ya Wafanyakazi na Bei nzuri za mazao!

    Tofauti na mwaka 2015 kampeni za mwaka huu zimeongeza mambo muhimu kwenye ilani za vyama. Ikumbukwe kuwa ilani ya CCM kwenye kitabu chenye kurasa zaidi ya 350 ndio iliyosheheni mambo makubwa na baadhi ya vyama vya upinzani vimedesa huko. Cha msingi ni kwamba Dr Magufuli na Tundu Lisu wote...
  4. Securelens

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

    Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea. Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hujuma dhidi ya CHADEMA na wapinzani kwa ujumla, ni matokeo ya uvumilivu wa wapinzani unaotafsiriwa kimakosa kama uoga

    Huu ndio ukweli ambao wapinzani tunapaswa kuutafakari na kuchukua hatua sahihi. Wameengua wagombea wa upinzani tukaa kimya, wakatuchukila poa, lakini kama tungesimama imara, leo hizi figisu za kuapisha mawakala pengine zisingetokea. Tusisahau walianza katika zile chaguzi za marudio...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA yailaumu NEC kwa vifo vya mawakala watano wa chama hicho

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amewalaumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa vifo vya mawakala watano wa chadema katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo – Sumbawanga Mnyika amesema mawakala hao wamefariki walipokuwa wanawahi ofisi za Mkurugenzi kuapishwa kutokana na utaratibu...
  7. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chief kalumana Mgombea Ubunge wa CHADEMA Bukoba mjini akamatwa, Mabomu yapigwa uapishwaji wa Mawakala

    Chief kalumana inasemekana amakamatwa na polisi akiwa eneo la kuapishwa mawakala na mawakala wa chadema hawajaapishwa hadi sasa. ===== Jeshi la polisi mkoani Kagera limelazimika kutumia nguvu kuwatawanya wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na mgombea ubunge jimbo...
  8. UKWELIYAKINIFU

    JamiiForums Tanzania Mikoa yetu katika Ilani za CCM na CHADEMA

    Wakati watanzania wakiendelea kutafakari kable ya kuamua watakichagua chama gani kushika dola, miongoni mwa mambo yanayoweza kuwaongoza ni namna ambavyo vyama vya siasa vimezingatia mahitaji ya maeneo wanamoishi wapigakura, na hivyo kata, wilaya na/au mikoa yao. Mbali na kuangalia mahitaji ya...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

    Mawakala wanne wa CHADEMA wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema. Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lunguza: Wakina mama wametoa ujumbe wao kwa mgombea Urais Tundu Lissu kwa shairi

    Wachungaji wanateseka mifugo inapata tabu. Tundu Lissu sikiliza, kero zetu tunakulilia, maji tuna nyanyasika. Sisi wakina mama Tundu Lissu tunakuahidi kura zetu za Urais, kiti utakikalia.
  11. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Esther Matiko asuswa na viongozi wa CHADEMA wilaya na mkoa

    ESTHER MATIKO ASUSWA NA VIONGOZI CHADEMA MKOA NA WILAYA Ni Lucas Ngoto Mwenyekiti Mkoa, na Hamisi Nyanswi Mwenyekiti Wilaya. Sababu kubwa ni dharau, kiburi na malingo. Pia wanajiepusha na lawama ya kushindwa sababu hali yao ni tete. Kushindwa kwake kutekeleza ahadi zake kwawa mwiba mkubwa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Hivi CHADEMA mmejipanga kweli? Msipoteze ushindi katika suala la mawakala

    Suala la kusafirisha mawakala kwenda kula kiapo wasiachiwe wagombea. Kuna majimbo yana jiografia mbaya sana na hayana mgombea ubunge. Na hata kama yupo hana fedha. Sasa unakuta safari ya kwenda kula kiapo kwa mkurugenzi na kurudi ni ya kutwa nzima. Na gharama ya kukodi usafiri ni kubwa mno...
  13. fenestra rotunda

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA, Mawakala wenu wako wapi muda huu?

    Kwa habari zinavyomiminika maeneo mbali mbali mda huu ni kama vile mawakala wa CCM wameshawahi sehemu husika kusubiri kiapo ila nyie mnasubiri ile saa tano asubuhi ya Na inaonekana kuna mkanganyiko kuhusu mahala sahihi pa kuapishwa kwani wengine wanasema ni katani na wengine kwa kurugenzi...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuelekea Oktoba 28: Mgombea ubunge wa CHADEMA Mbeya Mjini aendelea na Kampeni maeneo ya Itezi

    Kuna kila dalili kwamba Mgombea Ubunge wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ambaye pia huitwa 'Rais wa Mbeya' huenda akavunja rekodi aliyoiweka mwenyewe 2015, ya kuwa mbunge aliyechaguliwa kwa kura lukuki kuliko wote. Hebu angalia hapa Kata ya Nsalanga leo, Eneo la Itezi Mashariki.
  15. leonaldo

    JamiiForums Tanzania Hongera CHADEMA kwa uwekezaji huu mkubwa

    Safi sana CHADEMA hamkuwekeza kwenye majumba,wala magari ya kifahari wala chochote cha starehe,kila mlichopata mlikitumia kuijenga taasisi yenu mioyoni mwa watu, hamkukaa bure richa ya kuwa mlikuwa kifungoni kwa miaka yote mitano. Chemichemi zenu zote za kuwaongezea kipato kwenye chama...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

    Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga. Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea...
  17. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kiongozi wa CCM Njombe amnadi mgombea udiwani wa CHADEMA waziwazi mbele ya umati

    Haijawahi kutokea
  18. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wiki ya Mwisho inavyoweza kumpaisha au kumdondosha Tundu Lissu

    Upepo ulikuwa kwao wiki iliyopita na kuonesha mvuto wao ulikuwa mkubwa sana kitaifa. Ila ni makosa madogo yanayoweza kupunguza kura zao na wakiepuka tu wanaweza kuongeza kura sana na hata kuishangaza dunia. 1. Hofu inayojengwa na CCM dhidi ya CHADEMA Hofu hizo sio za kupuuza na kiutafiti...
  19. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM acheni kujipa Moyo, CHADEMA walijiandaa na Uchaguzi muda mrefu. Siri hii hapa...

    Kwa hakika ni WanaCCM wachache sana wanaojua kuwa CHADEMA NI MSINGI lilikua ni zoezi operation ya chama nchi nzima na lilikua na lango la kuhakiki wanachama wake nchi nzima ngazi zote kuanzia msingi, matawi hadi taifa. Zoezi hili lilifanikiwa 100%. CCM wengi hasa viongozi wake hawakujua lolote...
  20. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nimeshtushwa nanyi, kumbe makelele yote yanayopigwa mitandaoni kumbe hamna uhalisia kule mtaani

    Habari Wana JF, Nimewiwa kuandika uzi huu baada ya kumalizia tafiti yangu niliyofanya kwa muda mrefu katika majimbo ya uchaguzi yote Tanzania bara na Zanzibar...nasema CHADEMA byebye.. nimeshtushwa kumbe makelele yotee yanayopigwa mitandaoni kumbe hamna kitu uhalisia kule mtaani..Ni maajabu na...
Back
Top Bottom