CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya chama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Official_BAVICHA_Taifa_on_Instagram:_“TAARIFA_KWA_VYOMBO_VYA_HABARI.__Kesho_alhamisi_tarehe_01...jpg


Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
 
Wewe ni msemaji wa chama?
View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
 
Watueleze na juu ya afya ya akili ya Lissu, maana amesikika VOA akisema mlinzi mweusi wa Magufuli alikufa kwa corona.

Tutachangia matibabu ya ugonjwa wa akili wa Lissu.
 
View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
😷😷😷
 
View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Eti jijini Dar es salaam!!
 
Back
Top Bottom