Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .