Nawashauri mapipoz, kuna mengi sana yameendelea tangu mwendazake, hadi mama yetu. Kwenye siasa, sehemu pekee ya kushitaki ukapata haki, ni kushitaki sio mahakamani, ila kwa wananchi.
Sio kwamba ushitaki ili uchafue nchi au ulete fujo, nooo, unatengeneza hoja zenye mashiko na mifano vivid, na...