Joti anayapinga maandamano ya CHADEMA?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Msanii wa vichekesho nchini Lucas Mhavile almaarufu Joti, ameonyesha kufurahia kusua sua kwa Maandamano ya CHADEMA ambayo yanafanyika hii leo.

Joti kupitia mtandao wa "X" ameonyesha kucheka na kujibu kwa maneno yanayoonekana kuwa ni kejeli kwa waandamanaji.

Screenshot_20240124-110411_1.jpg


Baada ya kuonyesha kejeli, Joti alijibiwa na mwanachama wa Chadema na akaendelea kuonyesha kuwa hayaungi hayo maandamano.

Screenshot_20240124-110420_1.jpg


Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
 
Muafrika akishakuwa na uhakika wa maisha watu wengine wote anawaona wapumbavu tu!

Joti amekula mpaka amevimbiwa nyumbani kwake kuna standby generator umeme wa tanesco ukikata umeme kwake anawasha generator.

Kwa kifupi hana shida yoyote kwa io anavyoona chadema wanaandamana anawaona km wapumbavu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
sasa martini alikuwa anamjibu mtu anayenufaika na mfumo mbovu wa ccm uliopo...ni kama kukata tawi wakati umelikalia...kuna uwezekano mkubwa ulaji wao ukakata mambo yakibadilika kwenye kampeni huwa wanapelekwa hawa ...ila sijilaumu nawaavcha nawanainchi wanaitwa wanyonge waendelee kunyongwa kwa sababu hawaelewi na hawasikilizi
 
Inashangaza tunapopigania demokrasia ya kusikilizwa na kufanya yetu kutaka kuwapinga wengine wanaoona tunachofanya sio sahihi....

By the way sidhani anayepinga the means anapinga pia kinachopiganiwa....
 
Muafrika akishakuwa na uhakika wa maisha watu wengine wote anawaona wapumbavu tu!

Joti amekula mpaka amevimbiwa nyumbani kwake kuna standby generator umeme wa tanesco ukikata umeme kwake anawasha generator.

Kwa kifupi hana shida yoyote kwa io anavyoona chadema wanaandamana anawaona km wapumbavu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nyumba ipi? Hiyo ambayo haijaisha na hata taa haziwaki? Fala tu huyu dogo. Kama ana hela akasomeshe watoto hata hapo genesis
 
Unapingaje haki ya kikatiba? Kupinga haki hiyo ni kuvunja katiba ya nchi. Kama hakupenda ni vyema angekaa kimya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom