chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Mhe. Ashura Masoud - Katibu wa Chadema Kanda ya Kati.

    Nimekusikia ukisema Yesu asifiwe na tumkutuze Yesu. Hii pale upotoa salamu ktk mazishi ya mtei. Unapokua muislamu kuna miiko ya maamkizi popote pale na ktk shughuli yoyote ile. Muislamu hutakiwi kumtukuza Yesu . Ulotakiwa kusema habarini, za mchana au poleni. Muislamu kuna matamshi hutakiwi...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo aonekana kwenye msiba wa mwasisi wa CHADEMA, Mzee Mtei

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Mrisho Gambo, amewasili kwenye msiba wa marehemu Mzee Edwin Mtei, mmoja wa waasisi wa CHADEMA, huko Arusha. Hii ni mara ya kwanza kwa Gambo kuonekana hadharani baada ya kutoonekana kwa kipindi kirefu Gambo...
  3. upupu255

    JamiiForums Tanzania Mbowe: CHADEMA haijatengwa tusiuchafue msiba wa Mzee Mtei

    Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ambaye pia ni mwanafamilia wa marehemu Mzee Edwin Mtei, amejibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa mitandaoni zikidai kuwa CHADEMA haijapewa nafasi na hadhi inayostahili katika taratibu za kumuenzi muasisi wa chama...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuongoza mazishi ya Mtei na sio Serikali kama ilivyofahamika awali

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara, John Heche, amewasili nyumbani kwa marehemu Mzee Edwin Mtei kuongoza mazishi ya mwanzilishi wa chama hicho. Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Samweli Welwel, amesema ratiba ya maandalizi kuelekea maziko ya Mzee Mtei...
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Zuio la kufanya shughuli za siasa nchini lilikoma Desemba 10, 2025

    TAARIFA KWA UMMA KUKOMA KWA AMRI YA ZUIO LA MAHAKAMA KUU LA TAREHE 10 JUNI 2025 KWA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) KUFANYA SHUGHULI ZA SIASA NCHINI 1. Mnamo tarehe 20 Januari 2026 Jeshi la Polisi katika Wilaya ya Kipolisi ya Mbalizi Mbeya Vijijini liliwavamia viongozi wa Chama cha...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mwananchi awapigia Airtel kuwahoji kwanini wamefungia line ya Brenda Rupia iliyokuwa ikipokea michango ya CHADEMA

    Wakuu, Kweli watu tumevurugwa, yaani jamaa kaamua kupiga simu kabisa hawa machawa 😂 Haya sasa kampeni ianze kufanya kazi kwa wote wenye laini ya airtel 😂 Baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa laini ya Brenda Rupia ya Airtel iliyokuwa ikipokea michango imefungiwa ghafla na kampuni hiyo ya simu...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA aliyoianzisha mzee Mtei ilikuwa kwa ajili ya kulinda maslahi ya CCM sio kama hii ya sasa chini ya Lissu na Heche.

    Mpaka anaondoka Mbowe ilikuwa ni sehemu ya CCM kudanganya jumuia ya kimataif kuwa kuna upinzani nchini. Ilikuwa ipo kibiashara zaidi ili kunufaisha matumbo ya mabwanyeye waliojipachika jina kuwa wapinzani wakati sio wapinzani. Sasa hovi chini ya Lissu na Heche ndio kimekuwa chama cha upinzani...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Lissu aruhusiwe kuhudhuria msiba wa Edwin Mtei, mwanzilishi wa CHADEMA

    Kwa sababu mpaka sasa Tundu Lissu sio mfungwa bali wanaomshikilia inaonekana wameamua kumfanya mahabusu wa kudumu ndani ya magereza itakuwa vizuri wampeleke akamzike Edwin Mtei mwanzilishi wa chama chake cha CHADEMA ambacho kwa sasa yeye ni mwenyekiti wake.
  9. ngara23

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuongoza protokali ya mazishi ya muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei

    Inasemekana Mbowe kama msemaji wa familia amemualika Rais Samia kuongeza protokali za mazishi ya Mzee Mtei Licha ya kuwepo mvutano wa Serikali na Chadema katika mambo mengi, lakini Mbowe bila kuwashirikisha Chadema amefanya mualiko huo 1. Lissu Mwenyekiti wa Chadema yupo gerezani karibia...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Nimepata taarifa Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA msiba wa Mzee Mtei, anataka kumualika Samia

    Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA kwenye msiba wa muasisi wetu wa Chama Mzee Edwin Mtei.Sasa iko hivi, imepangwa ratiba ya msiba siku ya Mazishi ambapo CHADEMA itapewa nafasi ya kutoa salam za rambirambi saa tatu...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Isingekuwa Mbowe CHADEMA kingekuwa madarakani tangu 2015

    Kahujumu maridhiano mengi kwa faida binafsi akishirikiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa chama Jon Mrema na wenzake waliokimbilia CHAUMMA. Kwenye uchaguzi wa 2015, ulikuwa ni mpango wa Mbowe kumweka Lowassa kugombea urais dakika za mwisho bila mchakato wowote ili kuzima nguvu ya Dr. Slaa aliyokuwa...
  12. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Mkitaka kuifuta CHADEMA ifuteni na CCM pia

    Kuna dhana inajengwa Kwa miaka zaidi ya 25 Sasa, kuwa vyama vya upinzani vifutwe kibaki chama kimoja tu CCM. Huwa sielewi akili za watu wanaowaza kuwa kama Tanzania vyama vingine inawezekana kuvifutia usajili ila CCM inatakiwa kubakia. Hivi mnaowaza kuwa vyama vingine na hasa CHADEMA, vinaweza...
  13. Q

    JamiiForums Tanzania Lissu atuma ujumbe maalum kwa heshima ya mwasisi wa CHADEMA Edwin Mtei

    Ujumbe huo unatarajiwa kusomwa wakati wa ibada ya kumbukumbu ya Mtei tarehe 23 Januari 2026, kabla ya mazishi yake tarehe 24 Januari nyumbani kwake Tengeru, Arusha. ==== UJUMBE WA RAMBIRAMBI WA TUNDU LISSU KUFUATIA KIFO CHA MZEE EDWIN ISAAC MBILIEWI MTEI. EDWIN MTEI: MJENZI WA NCHI, KIONGOZI...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Hatuwezi kushindana na vyama vidogo tunavyovilea, CHADEMA, ACT, CUF wote tunawalea

    Akizungumza na wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa Chama cha mapinduzi ni chama kikubwa hakiwezi kushindana na vyama vidogo ambavyo wanavilea akitaja...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Aida Kenani: CHADEMA inaonewa sana, kama haumuitaki ifuteni tu

    Aliyekuwa Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA, Aida Kenan asema kama vya vyama vya upinzani havitakiwi nchini ni bora kuvifuta vyote ili watu wasiendelee kuuawa na kuumizwa na kibaki chama tawala tu.
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Waliokua wanahoji michango ya chadema walikua sahihi, leo msibani vurugu zimezuka

    https://x.com/_zack255/status/2013876086342373410?s=20
  17. Q

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kujenga Chuo cha kumbukumbu kumuenzi Edwin Mtei

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei. Kwa mujibu wa chama hicho, chuo hicho kitajengwa katika moja ya maeneo yanayomilikiwa na Chadema na kitalenga kuwajengea vijana...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la kukamata watu wa CHADEMA wasio tishio kivyovyote ni la kisiasa kwanini wameshusha na bendera inahusika vipi kuvunja sheria za nchi ?

    Suala la kukamata watu wa CHADEMA wasio tishio kivyovyote ni la kisiasa kwanini wameshusha na bendera inahusika vipi kuvunja sheria za nchi ? Nimesikia hizi takataka zinasema heti wamekamatwa kwa kukusanyika kwahiyo kukusanyika ni kosa tangu lini na vipi mshushe na bendera ya chama ilikuwa...
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Utafiti unaonesha kuwa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unaotarajiwa kufanyika Mbowe anaweza kushinda kwa Kishindo

    Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ambaye ni kipenzi cha wanachama anatarajia kujitosa katika mbio za kuania uwenyekiti wa CHADEMA. Uchaguzi huo unaitishwa baada ya Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu Kusota korokoroni kwa muda mrefu hivyo kuathiri shughuli za chama kwa muda...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mkoa wa Rukwa wachachamaa, wazuiwa kupanda miti, Aida na wenzake wauwasha moto

    Wanachama wa Chama cha CHADEMA mkoa wa Rukwa Wilaya ya Nkasi hii leo Januari 21, 2026 walijitokeza kupanda miche 1,600 ya miti mbali mbali katika wilaya hiyo katika kumbukizi ya miaka 33 ya kuanzishwa chama hicho. Akizungumza na Wanahabari Mbunge mstaafu wa Nkasi Kaskazini na Mwenyekiti wa...
Back
Top Bottom