CHADEMA mjiulize swali la msingi. Kama Mch Msigwa angesginda uchaguzi kupitia CCM angejiuzulu ubunge sababu ya mauaji ya Oktoba 29?

CHADEMA mjiulize swali la msingi. Kama Mch Msigwa angesginda uchaguzi kupitia CCM angejiuzulu ubunge sababu ya mauaji ya Oktoba 29?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,453
Reaction score
7,325
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.

Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?

Wajinga ndio...
 
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.

Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?

Wajinga ndio...
Screenshot_20251201-222021~2.png
Screenshot_20251122-090658~2.png
 
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.

Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?

Wajinga ndio...
Unatuonea bure. Sisi huo uwezo wa kujua kingetokea nini tumeupata wapi? Everything happens (or doesn’t happen) for a reason.

Hata wewe usingeuliza hili swali hatujui kingetokea kitu gani.

Wapo waliowahi kushinda ubunge lakini bado walijiuzulu kwasababu ya beliefs zao. Kwa mfano, mwaka 2015, Nyalandu alishinda ubunge, lakini aliamua kuachia ngazi na kujiunga na CHADEMA.
 
Tatizo lenu n kudhani Kila anayeipinga chadema n ccm, hata mkikosea hamtaki kukosolewa, mnakuwa Hamna tofauti na ccm wote hamtaki kukosolewa 🗑️
Umeongea ukweli ambao wanaChadema utawagharimu milele.
 
Unatuonea bure. Sisi huo uwezo wa kujua kingetokea nini tumeupata wapi? Everything happens (or doesn’t happen) for a reason.

Hata wewe usingeuliza hili swali hatujui kingetokea kitu gani.

Wapo waliowahi kushinda ubunge lakini bado walijiuzulu kwasababu ya beliefs zao. Kwa mfano, mwaka 2015, Nyalandu alishinda ubunge, lakini aliamua kuachia ngazi na kujiunga na CHADEMA.
Stick to the point anasema sababu kubwa ni mauaji ya Oktoba 29. Je, angepata ubunge kupitia CCM angeacha ubunge?
 
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.

Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?

Wajinga ndio...
Wewe ungerudi?
 
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.

Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?

Wajinga ndio...
Msingwa alitegemea mno apewe cheo kwenye serikali sikivu ya CCM, but ilibainika wazi kua Msigwa ni mtu wa tamaa na asie na uwezo wa kufanya kazi 🐒
 
Msigwa ni Sawa na mwanamke aliemkimbia mumewe kisa maskini akakimbilia kwa mwenye uwezo kisha mwenye uwezo akambwaga.
So anarudi kwa mume masikini tena
 
Back
Top Bottom