Walidhani wakiimaliza CHADEMA watabaki salama

Walidhani wakiimaliza CHADEMA watabaki salama

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
366,638
Reaction score
848,017
Wameshindwa kuimaliza CHADEMA.. CDM Imeibuka na kuwa
Chama bora zaidi
Chenye nguvu zaidi
Chenye ushawishi zaidi
Chenye kupendwa zaidi
Wao wameguekana sasa.. Wanafitiana uwani na kuhitilafiana wazi wazi kabisa!
UTAWALA DHALIMU UMEFITINIKA🗑

 
Mwanaccm mwenye akili kama kikwete na Mimi pia anajua uhai wa upinzani na upinzani active ndio uhai wa urais na Chama chetu!!!

Upinzani ukiwa hai wanaccm tunakua wamoja zaidi ili kupambana nao,upinzani usipokuwepo itabidi wanaccm wenzetu wajigawe wawe wapinzani wa madaraka ndani ya chama hapo ndipo mtafutano na mauaji Plus figisu zinaua wanachama tawala!!

Ndicho kinachoenda kutokea hapa team nchimbi vs team Samia Hala Kuna team wazalendo wa Tanzania wanna wa zoom kwa mbali,matokeo yake DAMU DAMU DAMU DAMU DAMU.........

Kazi na utu,tusonge mbele bandugu!!!
 
Wameshindwa kuimaliza CHADEMA.. CDM Imeibuka na kuwa
Chama bora zaidi
Chenye nguvu zaidi
Chenye ushawishi zaidi
Chenye kupendwa zaidi
Wao wameguekana sasa.. Wanafitiana uwani na kuhitilafiana wazi wazi kabisa!
UTAWALA DHALIMU UMEFITINIKA🗑

View: https://www.facebook.com/share/v/1DExww62pN/

wazanziba ni wapiga majungu, wafitini, wanafiki

Sisi tumeshamaliza sakata la mgawanyo wa mali. Sasa ni muda wa kutazama la kwao.

Wapi panavuja ? Acha inyeshe tuone.
 
Ustahimilivu wa Taasisi CHADEMA kama taasisi imejengwa kwenye fikra na misingi ya watu, hivyo haiwezi kufutwa kirahisi kwa kuwawajibisha au kuwakamata viongozi wake kwa tuhuma za kutunga.

Kuhama kwa Migogoro Inatahadharisha kuwa hata kama upinzani mkuu ukidhoofishwa, changamoto za kijamii, kiuchumi, na kisiasa zisipotatuliwa, migogoro na manung'uniko ya wananchi yataibukia kwingine (hata ndani ya chama tawala yenyewe).Na haya ndio yanayotokea sasa

Umuhimu wa Demokrasia
Huwa ni ukumbusho kuwa uwepo wa upinzani thabiti ni muhimu kwa ajili ya usawa, amani, na utulivu wa muda mrefu wa nchi
CHADEMA kwasasa ndio jasiri muongoza njia Tanganyika na Zanzibar
 
Back
Top Bottom