Kevzy
JF-Expert Member
- May 23, 2026
- 969
- 1,692
Chei chei
Viongozi hawana ushirikiano na wana vita wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama, hakuna masikilizano kila mtu yeye yupo mbele tu hakuna anayetaka kukaa nyuma ya mwenzake
Acha tu CCM waendelee kushikilia nchi maana sioni dalili yeyote kwa CHADEMA kuingia madarakani
Msimamo wangu upo pale palee CHADEMA ikiingia madarakani najinyonga/mpaka kufa
Mimi sio chadema wala sio ccm sina chama ila napenda maendeleo, nitampongeza yeyote anayefanya vizuri na kumkosoa yeyote mwenye nia hovu na Taifa letu, tukiwatoa nyinyi wana siasa kuna wananchi ambao hatuna vyama na hatupendi mambo ya vyama na tuna haki yakuishi pia
Kiongozi wa chama anasema hataki uchaguzi mbali zaidi anaenda mbali anasema atavuruga uchaguzi then.. anashahuriwa na wanachama na viongozi wa chama kwamba waache maswala ya kuvuruga uchaguzi hataki then maafa yanatokea alaf unalaumiwa upande mmoja tu wa serikali hii sio fair, lawama wapewe wote, waliofyatua risasi lana na lawama juu yao na aliyechochea na kusema atakinukisha ili uchaguzi usiwepo alaaniwe na lawama juu yake pia
CHADEMA ikichukua madaraka najiua, nuna chukia, kufa, galagala lakini ukweli ni mchungu..
Mlaaniwe mlioua watu 0ctober 29 na mliochochea vurugu mlaaniwe wote, mfe vifo vibaya sanaa
Kuna vijitu vinanichukua kwa kuongea ukweli nawaambia sitaacha kusema ukweli..
Nyambafu
Viongozi hawana ushirikiano na wana vita wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama, hakuna masikilizano kila mtu yeye yupo mbele tu hakuna anayetaka kukaa nyuma ya mwenzake
Acha tu CCM waendelee kushikilia nchi maana sioni dalili yeyote kwa CHADEMA kuingia madarakani
Msimamo wangu upo pale palee CHADEMA ikiingia madarakani najinyonga/mpaka kufa
Mimi sio chadema wala sio ccm sina chama ila napenda maendeleo, nitampongeza yeyote anayefanya vizuri na kumkosoa yeyote mwenye nia hovu na Taifa letu, tukiwatoa nyinyi wana siasa kuna wananchi ambao hatuna vyama na hatupendi mambo ya vyama na tuna haki yakuishi pia
Kiongozi wa chama anasema hataki uchaguzi mbali zaidi anaenda mbali anasema atavuruga uchaguzi then.. anashahuriwa na wanachama na viongozi wa chama kwamba waache maswala ya kuvuruga uchaguzi hataki then maafa yanatokea alaf unalaumiwa upande mmoja tu wa serikali hii sio fair, lawama wapewe wote, waliofyatua risasi lana na lawama juu yao na aliyechochea na kusema atakinukisha ili uchaguzi usiwepo alaaniwe na lawama juu yake pia
CHADEMA ikichukua madaraka najiua, nuna chukia, kufa, galagala lakini ukweli ni mchungu..
Mlaaniwe mlioua watu 0ctober 29 na mliochochea vurugu mlaaniwe wote, mfe vifo vibaya sanaa
Kuna vijitu vinanichukua kwa kuongea ukweli nawaambia sitaacha kusema ukweli..
Nyambafu