ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Superbug

    JamiiForums Tanzania Waliohamia CCM kutoka upinzani watazeeka kwa aibu sana muongo ujao

    Ni jambo la kusikitika sana, ukitafakari siasa za Tanzania. Kitendo cha wanasiasa walioaminika na wananchi kwa kupigiwa kura kuhamia CCM kwasababu za kipumbavu kama wanazotoa ni jambo litakalohojiwa sana na vizazi vijavyo. Nadiriki kusema miaka kumi ijayo hawa WALIOHAMIA CCM watakuwa wazee ila...
  2. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Simple equation inayoitesa CCM na Taifa

    Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo...
  3. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya kuchagua wapinzani maana wananunulika kama bidhaa za Madukani 2020 ni kuchagua CCM tu kwa 100%

    Kama wananchi wanawachagua wapinzani hafu hao wapinzani wanafika bei kwa nini nichague mtu anayefika bei kirahisi Mtanzania mwenzangu huu mwaka 2020 Tusirudie kosa tuichagueni CCM kwa 100%
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

    Heshima kwenu wakuu, Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU leo siku ya Ijumaa saa 7:00 mchana PCCB House Upanga, ataongea na vyombo vya habari. Tutatoa updates kwa kila kinachojiri. ==== UPDATES: Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Takukuru akizungumza...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa viti maalum kule CHADEMA hawana hamu ya kuhamia CCM?

    Sijasikia mbunge yoyote wa viti maalum kutoka CHADEMA au CUF aliyehamia CCM, ndipo sasa najiuliza why? Yawezekana sijafuatilia vizuri, mwenye pingamizi Tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
  6. Boniphace Kichonge

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

    Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wabunge waliohamia CCM kwa kujiuza au kwa hiyari yao njia panda , Mikataba ya ununuzi mwisho octoba 2020

    Kwa mujibu wa mikataba waliyoandikiana ni kwamba uchaguzi ujao hawatabebwa , bali wanapaswa kupigania roho zao wenyewe kwa kupitia kura za maoni ambazo ndio utaratibu wa halali . Hofu iliyopo ni kwamba watapitishwa na nani kwenye chama ambacho hawana mizizi hata ya size ndogo kama Caroti ama...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

    Wanabodi, Kwanza angalieni hii picha More than 60% of Rwanda’s parliamentarians are women. Photo: Sam Ngendahimana Nimesoma kwenye Ripoti ya WB, Bunge la Rwanda ndilo Bunge linaloongoza Dunia kwa gender equality baada ya kuwa na asilimia kubwa ya wabunge wanawake kuliko wanaume, wakati Bara...
  9. K

    JamiiForums Tanzania CCM msiishie kujitwisha zigo la Mwenyekiti Taifa , Mwambieni asirudie tena

    Ilisikika sauti ya huzuni " Tumechafuka sana, chama kinaugulia majeraha ya uchaguzi wa 2015, na athari za mwenendo wa maamuzi usioridhisha wa Mwenyekiti kwa nafasi yake, majeraha yamezidi na sasa tuchukue hatua kuwarejesha kundini wote bila kujali lawama, Lazima intrest iwe moja ya kukinusuru...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli CCM inaiba kura au ni visingizio vya upinzani?

    Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Isingekuwa Kujitoa CHADEMA na Kujiunga CCM...

    CHADEMA ingekuwa katika hali mbaya sana, kama wote waliojitoa ndani ya chama hicho, huku wakielekeza tuhuma zao kwa viongozi wa chama, wangekomaa tu, angalau kwa muda bila kujiunga CCM, watu wengi wangeelewa kwamba ndani ya CHADEMA pana matatizo makubwa. Lakini hizi juhudi za kukidhoofisha...
  12. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ninawashangaa sana wana CCM wanaoshangilia ujio wa wahamiaji ndani ya chama chao!

    Nina washangaa sana hawa watu na kwa kweli sielewi wanashangilia nini! Mtu anahamia ndani ya chama chao ili apate ulaji (Achukue nafasi ya mwana CCM ambaye pengine angekumbukwa kwenye hiyo nafasi) kisha yeye anakaa anashangilia kama zuzu! Hivi doctor Mashinji, Machali, Kafulila na wengine...
  13. technically

    JamiiForums Tanzania Nendeni CCM wote wasaliti wakubwa wa mabadiliko

    Nunuliweni, Peweni vyeo, Pigeni propaganda zote lakini ukweli utabaki pale pale ccm sio chama tena kimepoteza dira wote mliopo ccm na mnaoelekea ccm wote ni wasaliti wa sauti ya wengi. Tutakutana siku ya mwisho hakika mmefanikiwa kusaliti mageuzi lakini nawahakikishia wasindi ndio wale watakao...
  14. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Polisi asema "Kidumu chama cha mapinduzi" Wakanyaga katiba kwa kufanya siasa wazi wazi

    Polisi Tanzania Wakanyaga katiba Kwakufanya siasa wazi wazi bila kificho ushaidi huu hapa. Salamu ya “kidumu Chama cha Mapinduzi” aliitoa kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shana alipokuwa Butiama mkoani Mara wakati wa hafla ya kumbukizi ya miaka 19 ya kifo cha Baba wa Taifa. zaidi...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti CCM bara, Philip Mangula ziarani Iramba- Singida

    Habari wadau wa JF. Wilayani Iramba mkoa wa Singida mambo ni Moto. Shamrashamra zimetawala ktk mji wa Kiomboi ambao ni makao Makuu ya Wilaya kufuatia ziara ya makamu mwenyekiti wa CCM bara, Ndugu Philip Mangula. Mzee huyu asiyekuwa na makuu hivi sasa anazungumza na wanachama ktk ukumbi wa...
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania CCM tuwe makini na wahamiaji

    Ni njaa tu na faida binafsi zinazowafanya watu wahame kutoka chama hiki na kwenda chama kile. Ukweli ni kwamba vyama vya siasa ni kama madhehebu ya dini na club za mpira waumini wake ni vigumu sana kuhama dini moja kwenda dini nyingine, dhehebu moja kwenda dhehebu lingine na kutoka club moja...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Inachofanya CCM ni kukomboa Majimbo yake yaliyokwenda Upinzani 2015 lakini Wapinzani bado wanamiliki majimbo yao kasoro lile la Ukerewe

    Habari njema kwa upinzani ni kwamba Majimbo yote yaliyorudi CCM kupitia chaguzi ndogo awali yalikuwa chini ya CCM kabla hayajazolewa na mafuriko ya Laigwanan Edward Lowassa. Kilichofanyika hadi sasa ni CCM kuyakomboa majimbo yake na kujipatia nyongeza ya jimbo la Ukerewe. Kule Singida...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Bukoba: Kiongozi UVCCM wilayani Muleba akutwa amefariki kando ya barabara

    Bukoba. Mwili wa Jaspar Jasson, aliyekuwa katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) kata ya Katoke Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera umekutwa pembeni mwa barabara ukiwa na alama shingoni. Akizungumza leo Jumanne Februari 18, 2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi...
  19. Evody kamgisha

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM kuwa makini kuna watu wanatumwa kutoka CHADEMA(mashushu)

    kuna baadhi ya watu wanaohama chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wakijinadi kuwa wanaunga mkono juhudi za mh Rais kwa kazi anazozifanya .Lundo la watu mbalimbali wengine wakiwa ni viongozi waandamizi ndani ya chama hicho cha upinzani. Hofu yangu ni kwamba chadema si chadema ya zamani.kwa...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM Zanzibar haipati wahamiaji kutoka upinzani? Je, haipendwi au wanasiasa wa visiwani wamekomaa kuliko wa bara?

    Naomba anayejua sababu ya kutowasikia wanasiasa wa upinzani kule Zanzibar wakihamia chama tawala anijuze tafadhali. Au sisi Watanganyika tunajua kucheza na kete za kisiasa kuliko Wazanzibari? Majibu tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
Back
Top Bottom