Uchaguzi 2020 Je, inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni Kada wa CCM kumtangaza "Mshindi" mgombea wa CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,962
141,961
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Swali gani hili na wakati haukubaliani na Bagonza?
 
Hiki ndo tulichabikiza!
tapatalk_1592681667868.jpeg
 
Mimi ntapisa suti kuanzia udiwani mpaka urais , mambo yakuogopeshana hayana maana.
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Mnakera sana wafuasi wa Ccm na serikali yake. Kama Unajua wasimamizi hawatatenda haki kwa nini kuitisha uchaguzi ?!. Ni kumhadaa nani ?!
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Inashangaza kada wa ccm anakuwa msimamizi wa uchaguzi kweli Tz hakuna demokrasia kabisa.
 
Najiuliza tu katika mazingira ya kawaida ya kibinadamu kwamba inawezekana msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM kumtangaza mshindi mgombea ubunge au udiwani wa CHADEMA?

Kiukweli wapinzani kama wanalijua hili wamechukua hatua gani au wanadhani 2015 na 2020 zinafanana?

Maendeleo hayana vyama!
Membe amekili hayo
 
Bwashee huu upinzani uliletwa na Nyerere wa CCM kwahiyo ni upinzani wa kipekee duniani usiofananishwa!
Nakumbuka sana mkutano huo wa kuruhusu vyama vingi 20% > 80% . Wengi ndani ya chama walimpinga, lakini Mzee alisema wachache hao wana hoja. Lakini wale wengi wamepiga kwa uoga, wamepotoshwa, na hoja zao ni dhaifu. Leo watu wanataka Tume huru nani wa kusimama kama Nyerere ?!. Hayupo.
 
Nakumbuka sana mkutano huo wa kuruhusu vyama vingi 20% > 80% . Wengi ndani ya chama walimpinga, lakini Mzee alisema wachache hao wana hoja. Lakini wale wengi wamepiga kwa uoga, wamepotoshwa, na hoja zao ni dhaifu. Leo watu wanataka Tume huru nani wa kusimama kama Nyerere ?!. Hayupo.
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani alipaswa kulisimamia hili siyo hadi mzee Mkapa na Membe waseme!

Nadhani ACT wazalendo watalisimamia hili!
 
Mnakera sana wafuasi wa Ccm na serikali yake. Kama Unajua wasimamizi hawatatenda haki kwa nini kuitisha uchaguzi ?!. Ni kumhadaa nani ?!
Wasimamizi huwa wanakula kiapo cha kusimamia uchaguzi bila upendeleo kwa mujibu wa sheria. Ndio maana hata vyama vya upinzani vilishinda wabunge na madiwani
 
Back
Top Bottom