Chama cha matekaji
Huu ndo ukwel ambao wapinzani wanajifanya hawauoni..!Kuna haja gani kwenda kupiga kura kwenye maigizo hayo?
Wapinzani nao wajinga,wanaacha kudai tume huru kwa vitendo wanaleta kutia huruma.Hamtatangazwa nyieee,hata tukisema tukapige kura.