Uchaguzi 2020 CCM tayari wako ngazi moja juu ya wapinzani wao.

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1592749262683.png
 
Kuna haja gani kwenda kupiga kura kwenye maigizo hayo?
Wapinzani nao wajinga,wanaacha kudai tume huru kwa vitendo wanaleta kutia huruma.Hamtatangazwa nyieee,hata tukisema tukapige kura.
 
Kuna haja gani kwenda kupiga kura kwenye maigizo hayo?
Wapinzani nao wajinga,wanaacha kudai tume huru kwa vitendo wanaleta kutia huruma.Hamtatangazwa nyieee,hata tukisema tukapige kura.
Huu ndo ukwel ambao wapinzani wanajifanya hawauoni..!
 
Back
Top Bottom