"I'm sorry my President" Pamoja na juhudi zote zile tumewavua wapinzani dhaifu na wasaka tonge pekee! Hii ndiyo ilikuwa air time yetu CCM ujue!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
 
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
Wamechukua cream waliobaki makapi wangevuruga chama!
 
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
Wewe mbona timu unayojifanya kuwa uko kwayo. Hauko.
 
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
Umejitahidi sana kutoa maelezo ya kuonyesha hali ya kisiasa ya nchi yetu ilivyo hivi sasa. Lakini naamini ama umevaa miwani ya mbao au unachosema sio kilicho katika akili yako, lakini tuu kama mfuatiliaji wa hali ya kisiasa Tanzania.

Ukweli tuuseme tena kwa mapana yake. Kama kuna wakati vyama vya upinzani ni dhaifu ni sasa yawezekana kuliko wakati wowote mwingine.

Ikitokea watu kama wewe mkawa wengi na mkasikilizwa Raisi Magufuli atashinda kwa zaidi ya asili mia 90. Lazima tujue hali halisi inayo tukabili ili tujipange na vita ya kuteketeza upinzani nchini Tanzania.

Ushauli wangu: Jitahidi kuwasiliana na watanzania mikoani kote naamini utapata picha ya hali halisi.

Yafuatilie haya maswali na majibu ambayo yanawakilisha karibu Watanzania wengi.

SWALI: Mkulu ameharibu mfumo wetu wa kuishi JIBU: Mfumo gani? na siku zote tumekuwa tukiishi hivi hivi.
SWALI: Kipato cha ujumla kimeshuka chini sana kiasi hata mlo mmoja umekuwa shida. JIBU : Huku vijijini au mikoani hatuja wahi kupewa chakula na ikitokea hakitoshi na mara chache sana na wengine hatuja wahi kulishwa na serikali, kwa hatuoni mabadiliko kwa suala la chakula sana sana tumekuwa na neema ya chakula tangu Magufuli aingie madarakani.
SWALI: Mkulu ameleta kitu gani tufauti na na hali ilivyokuwa nyuma. JIBU: Sasa hivi hata usiku tunaonana umeme upo kila mahali tena vijijini, Tukipata maradhi hospitali zipo kwenye kata zetu na ni bora kuliko zile za zamani, watoto hatuangaiki na ada.
SWALI: Jamaa hana uwezo hata wa kujieleza vizuri akizungumza ni kama ametoka kijijini. JIBU; Sikiliza mkubwa sisi tuna taka kazi kuongea kiswahili kizuri sisi kinatusaidia nini. Kwani akisema kiswahili kizuri ndio kitaleta chakula, hospitali au umeme.

Naomba niishie hapo, kuna mengi ila tujue lazima kampeni mwaka huu ziwe kali kupita hata 2015, wenzetu wanayo machache ya kusema kwa kuwa walipata nafasi ya kutenda.

TUSIJIDANDANYE KUNA KAZI KUBWA MWAKA HUU KULIKO WAKATI WOWOTE MWINGINE. TUPUNGUZE USHABIKI AMBAO UTAFANYA WATU WABWETEKE. TUJIFUNDISHE KUHESHIMU MAONI AMBAYO NI TUYAONA YAKIWA NA UKWELI
 
2025 Upinza mkubwa utakuwa ndani ya CCM pia ni muda wa ACT kuwa strong opposition hapa NCHINI.Comment yangu itunzwe nimeitoa 20.06.2020.
 
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
Hayo maswali anayo huyu View attachment 1484222
FB_IMG_1591856563507.jpeg
 
Ccm mradi wa
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?

Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa nyingine ya uwaziri kwa mlevi mmoja ili tu tuwavute bado tukaibuka na kakundi la aina ile? TWAFAA!

Rais wangu, sasa tuna lipi lingine la kufanya? Hakuna! Yani upinzani strong umebakia huko na mbaya zaidi wamo makinda kibao wanazaliwa kwao. Pia humu ndani tuna mamluki kibao wako nao. Nakwambia tena mkuu wangu, TWAFAA! Haiwezekani eti leo Waitara awe ndiyo asset yetu pamoja na kutumia mbinu za kila hali na mali.

Yani tunaingia kwenye uchaguzi mkuu na Chadema strong, ACT strong huku wanaotuunga mkono kutoka huko wakiwa hawana hata uhakika wa kura 100 nchi nzima? Dah TWAFAA!

Rais wangu, huko majimboni tuna hali mbaya sana. Wabunge wetu wanaokubalika moja kwa moja hawazidi 50. Na waliohamia huko majimboni ndiyo hata watu hawana time nao. Hili linatuaumbua sana sisi timu JeiPiEmu.

Na inaonekana wapo tayari kwa mbwai kama tutawazingua oktoba maana wengine tumewakatili hata uhai na wakapona hivyo cha kupoteza hawana tena. Wanaungwa mkono huko nje ambapo sisi tuna maproblemu kibao. Tumewatukana sasa wakikinukisha si watakuwa timu kubwa ageinisti azi? Mimi bwana kwa kuwa ulilipika mwenyewe bila kunishirikisha na ukalikoleza chumvi haliliki tena, nimeamua kukuachia upambane nalo.
Ccm ni mradi wa walaji mnapoteza muda wenu kushabikia genge hili la mafisadi.
 
Back
Top Bottom