business

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Adviser at VSO February, 2024

    Position: Business Adviser Location: Tanzania Salary: Not Specified Contract Type: Not Specified Contract Length: Not Specified Full Time: Not Specified Interview Date: As soon as possible Start Date: March 2024 Download Job Description File Size: 330.76 KBs, File Type: pdf Role Overview...
  2. The bump

    JamiiForums Tanzania Business partner mwenye mtaji usio chini ya milioni 10

    Binafsi ni mfanyabiashara ninaetafuta msaidizi tutakaesaidia a hii biashara ninayoifanya. Ni biashara Ndogo lakini inafanywa kwa ukubwa hivyo inahitaji Mtaji lakini zaidi usimamizi wa Jicho kwa Jicho. Partner ninae mtaka tutashirikiana katika Biashara. Faida Tutagawana Half Half Usimamizi wa...
  3. Newcastle1234

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Sales au Business Administrator au relevant

    Mimi kijana wa miaka 35. Natafuta kazi, short term au long term. Nina elimu ya chuo kikuu na experience kwenye sales, marketing na project management. Kwa Sasa Sina kazi lakini niko tayari kufanya kazi yeyote nitakayoiweza. Niko flexible sana na open minded
  4. C

    JamiiForums Tanzania Urgent Business partner required must be student

    Job description RBP hosts the world’s largest and richest graduate student startup competition, the Rice Business Plan Competition, with 42 national and international university ventures competing for over $1 million in in prizes. Will your startup be the one to represent Rice University? Join...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Urgent Business partner

    Job description RBP hosts the world’s largest and richest graduate student startup competition, the Rice Business Plan Competition, with 42 national and international university ventures competing for over $1 million in in prizes. Will your startup be the one to represent Rice University? Join...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Marketing Business Partner at Letshego January, 2024

    Position: Marketing Business Partner Reports To: Business Manager Purpose of the Job: The role is responsible for implementing and executing strategic marketing plans to attract potential customers and retain existing ones at the country level. Key Accountabilities: · Ensures promotion of...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Manager Agency Banking Business at CRDB January, 2024

    Position: Senior Manager Agency Banking Business Job Reporting To: Head of Agency Banking Job Purpose Responsible for Driving the overall performance of the agency banking business by providing leadership in areas of Sales and Retention to increase usage, agent footprint, and Revenue. Act as...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Area Business Development Manager at Serengeti Breweries Limited (SBL) January, 2024

    Position: Area Business Development Manager Worker Type: Regular Primary Location: Dodoma Scope The ABDM role will be critical to the overall SBL strategies in developing and driving our trade & and distribution/coverage strategy as well as operational excellence in achieving 100% distribution...
  9. Muki1

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye Account ya whatsApp business

    Habarini watu wa Mungu,nina tatizo hili kwenye account yangu ya WhatsApp business. Nimejaribu kuwaomba waifungue sioni response yao, msaada tafadhali naombeni.
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Opportunities at Norwegian Church Aid January, 2024

    Reference no: 0001/NCA/2024 Subject: Supply of Goods and Services Contracting Authority: Norwegian Church Aid – Tanzania Office Deadline for submission of letter of interest: 8th Feb 2024 Background Norwegian Church Aid (NCA) is a Norwegian Non-Governmental organization working with local...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Development Manager at Boomplay January, 2024

    Position: Business Development Manager Company: Transsnet Music Tanzania limited (Boomplay) Location: Dar Es Salaam Tanzania Position Summary We are looking for an ambitious and energetic Business Development Manager to help us expand our clientele. You will be the front of the company and...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Naomba utaratibu wakubadili tin number kutoka non businesses kwenda business

    Samahani nilikua naomba kazi kampuni x vigezo vikawa tin number nikampa mtu anitengenezee yeye akatengeneza ya non businesses Sasa imekataliwa nafanyaje kubadili msaada jaman
  13. P

    JamiiForums Tanzania Je, biashara ya Uwakala inalipa? Nina milioni 2, inatosha kuanzia?

  14. jaomjazymee

    JamiiForums Tanzania Business plan and proposal of simple Hotel

    Habari za muda huu wadau. Pole kwa majukumu Niko hapa naomba ushauri kuhusu biashara ya min Hotel. ningependa kujua kuhusu; -jinsi ya kuandika business plan na proposal -location kwa mkoa wa dar - mtaji kiasi gani kwanzia kiwanja, kujenga, na all necessary equipments. -risk zitokanazo na...
  15. Pascal Ndege

    JamiiForums Tanzania BRELA ni kero kuanzia kufungua kampuni mpaka kwenye jina la biashara

    Kufungua kampuni ilikuwa kero miaka ya nyuma lakini naona kero imerudi licha ya kuwa kuna mfumo rahisi kabisa wa kusajili kampuni. Yaani business name inachukua hadi mwezi mmoja kama umejaza kila kitu sawa. Kuna Tabia ukikosea tu review inakuwa haraka kabisa na unaambiwa kurekebisha, lakini...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Development Officers 2 Posts at AMMIEL & SONS November, 2023

    Position: Business Development Officers (2 Posts) A Petrol Station located in Vikindu, Mkuranga, is currently looking for 2 business development officers. The candidates will work to boost sales in the fuel business and service bay. Office is located at Vikindu, Mkuranga. Duties &...
  17. Mto Songwe

    JamiiForums Tanzania Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

    Ili kuvunja poverty circle tuliyo nayo ni muda sasa kuanzisha na kuzingatia miradi au biashara za kifamilia. Tujifunze kwa hawa ndugu zetu watu weupe. Tusione ufahari mradi, kilimo au biashara kufahamiwa na mtu mmoja tu kwenye familia akifa yeye na yenyewe inakufa naye unabaki mgogoro wa mali...
  18. Investaa

    JamiiForums Tanzania PS5 Business Idea!!!

    Habari wana JF. Kuna idea imekuja gafla hapa nikasema ni share na wana kama niaje unaweza niambia kama its possible or day dreamer. Nowadays nimeona kwa DAR watu wengi wanapenda kucheza PS ila si kwa faida bali waste of time. Nikaona what if PS kitu ambacho wengi wamekizoea na wanashinda nacho...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Tsh. Milioni 1.5 unaweza kufanya biashara gani ambayo kwa siku unaweza kuingiza faida ya Tsh. 20,000/-?

    Wakuu, Biashara gani ambayo inaweza kukuingizia faida ya Tsh. 20,000/- per day kwa hapa Dar es Salaam kwa mtaji wa 1.5mil? Binafsi nilifikiria nisajili laini za uwakala nifanye miamala ya simu but sijafahamu changamoto na faida zake.
  20. Nuno esparito santo

    JamiiForums Tanzania Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business?

    Hivi ni Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business? Ina faida sana ama ni biashara ndani ya biashara.
Back
Top Bottom