The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Binafsi ni mfanyabiashara ninaetafuta msaidizi tutakaesaidia a hii biashara ninayoifanya.
Ni biashara Ndogo lakini inafanywa kwa ukubwa hivyo inahitaji Mtaji lakini zaidi usimamizi wa Jicho kwa Jicho.
Partner ninae mtaka tutashirikiana katika Biashara.
Faida Tutagawana Half Half
Usimamizi wa Biashara nategemea atakua yeye kwani binafsi nina mambo mengine nafanya hivyo yeye atakua akiwa kama moja ya Wauzaji wa Bidhaa tunazo/ziuza.
Mtaji usiwe chini ya 10m
Uwe Tayari kukaa ofisini
Partner ambae unataka ku invest pesa tu ukae ofisini usubiri Faida HAPANA,Nahtaji mtu tutakae kuwa nae FRONT. kwa PAMOJA kusuia upotevu wa pesa kwa wafanyakazi.
BIASHARA hii sio Mpya ni endelevu hivyo mchanganuo wake kwa atakaekua serious tuonane PM.
Mkazi ni LAZIMA uwe DAR/MAKUMBUSHO ndipo DUKA/OFISI ilipo.
Karibu ujioneee ofisi na kisha ufanye maamuzi sahihi.
PM ipo wazi kwa atakae kuwa interested.
KARIBU
Ni biashara Ndogo lakini inafanywa kwa ukubwa hivyo inahitaji Mtaji lakini zaidi usimamizi wa Jicho kwa Jicho.
Partner ninae mtaka tutashirikiana katika Biashara.
Faida Tutagawana Half Half
Usimamizi wa Biashara nategemea atakua yeye kwani binafsi nina mambo mengine nafanya hivyo yeye atakua akiwa kama moja ya Wauzaji wa Bidhaa tunazo/ziuza.
Mtaji usiwe chini ya 10m
Uwe Tayari kukaa ofisini
Partner ambae unataka ku invest pesa tu ukae ofisini usubiri Faida HAPANA,Nahtaji mtu tutakae kuwa nae FRONT. kwa PAMOJA kusuia upotevu wa pesa kwa wafanyakazi.
BIASHARA hii sio Mpya ni endelevu hivyo mchanganuo wake kwa atakaekua serious tuonane PM.
Mkazi ni LAZIMA uwe DAR/MAKUMBUSHO ndipo DUKA/OFISI ilipo.
Karibu ujioneee ofisi na kisha ufanye maamuzi sahihi.
PM ipo wazi kwa atakae kuwa interested.
KARIBU