business

  1. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania Kuku ukiwafuga kwa matumizi ya Nyumbani hawapati shida yoyote ila ukiwageuza tu kuwa Business Project kila kitu hugeuka

    Habarini ndugu, Nimekuwa nikifatilia mara nyingi sana mtu unaweza kuletewa hata kuku 10 kama zawadi na ukaamua kuwafuga katika banda la hovyo tu ajabu ni kwamba watazaliana ingali huwapi chakula cha maana zaidi ya mabaki ya ugali na maharage muda mwingine hawaingii hata bandani wanalala nje ila...
  2. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Tatizo Sio business idea, tatizo ni mtaji mdogo, biashara zipo NYINGI Ila limit ni mtaji mdogo.

    Biashara zipo kila Kona biashara yoyote ukiinvest Hela hata biashara ya makopo inaweza kukutajirisha. Ila tatizo linakuja kwenye mtaji how to get capital malegend AU tips Gani hutumika kukuza small Business mpaka iwe huge
  3. Brojust

    JamiiForums Tanzania Buguruni Business Centre : Chimbo bora kwa wafanya biashara wakubwa na wamiliki wa hardware.

    Amani iwe nanyi, watu wa Mungu. Kijana wenu hapa Brojust baada ya kupata shida kidogo za kifamilia nimeamua sasa kurudi tena Buguruni na sasa napatikana Buguruni sheli. kwa kutumia kampuni yangu ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES nimeamua kutengeneza centre ya Biashara hapa Buguruni itakayo...
  4. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania ANAHITAJIKA MTU WA MARKETING IN SOCIAL MEDIA HARAKA.

    Happy Sunday Binti wa sales and marketing (msichana) anahitajika kwenye kampuni. Hakuna vigezo vingi -awe anajua vizuri kutumia social media (instagram, facebook, x (twitter), ticktock nk. -Awe anajua vizuri kufanya sales na on time in social media. location : Darces salaam Salary kwa...
  5. Moaz

    JamiiForums Tanzania Need Help about This Business Idea

    Marathon Hub in Tanzania: Connecting Runners, Organizers, and Communities As marathon running continues to gain popularity globally, Tanzania has become a prime location for these athletic events. Marathons like the Kilimanjaro Marathon, CRDB Marathon, and others attract thousands of...
  6. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Andaa Business Plan inayolenga soko zaidi, mengine baadaye

    Chuo tukisoma business administration , unapewa format ya kuandaa business plan ambayo robo ya muongozo unajikuta unashindwa kundana nao. Lakini ukiingia sasa elimu ya kimtaani taani (iite kitaalogy) unagundua lngo kuu la Businss Plan ni marketing. Wiki hii kuna familia walinitafuta wanataka...
  7. T

    JamiiForums Tanzania GET Business plans and Grant proposals for Your Initiatives

    Hizo ni huduma zangu kwa mdau yeyote Tanzania, popote alipo Tanzania hii tunafanya nae hizi WRITEUPS. Hii inaambatana na ushauri kabla na baada ya kukabidhiwa writeup. Pia naweza fanya Fund Seeking from financiers au donors world wide. A) Business plans for all profit oriented activities new or...
  8. Brojust

    JamiiForums Tanzania Je, Rais ana Kitambulisho au Business card kinacho onyesha nafasi yake katika serikali?

    Habari za muda huu. Inawezakana litakuwa ni swali la kijinga kwa baadhi ya watu ila kwangu mimi naomba mnitoe ushamba kidogo nami nijifunze. Kama tunavyojua Rais wa nchi yoyote ni Taasisi inayotembea. Popote anakapo kuwepo duniani. Je, Raisi ana kitambulisho kinacho onyesha nafasi yake katika...
  9. PeeWee

    JamiiForums Tanzania Mssada wa Business Ideas

    Habari za wakati huu wana JF, natumai mko salama na mwaendelea na mapambano ya kujitafutia mkate wa kila siku. Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mimi nipo jijini Mwanza na nimekuja kwenu hapa jukwaani kuweza kupata msaada wa kupata ideas za biashara katika jiji hili la Mwanza. Kiwango cha...
  10. Troubleshooter

    JamiiForums Tanzania Natafuta business partner kampuni ya ICT services

    Habari, mimi nimeanzisha kampuni ya kutoa huduma za ki ICT. Ofisi ya kampuni ipo Dar es Salaam, kuna vifaa vya kazi kama Computer 5, printer 2, ofisi kubwa yenye AC, mashine nyingine kama mashine za Stationery servies pia zipo kama, lamination machine, binder, paper cutter nk. ipo miradi kadhaa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Business managing system (POS)

    Je, unahitaji mfumo wa kisasa wa kusimamia biashara yako kidigitali? Business management Systems inakupa uwezo wa kusimamia biashara yako kwa kutengeneza Invoice, Proforma, na Delivery Notes kwa urahisi. Mfumo huu unatumika kwenye computer na simu pia, hivyo unaweza kutumia popote ulipo...
  12. Moaz

    JamiiForums Tanzania BUSINESS IDEA: TARGETED AREA "SOCCER"

    Business idea hii itabase kwenye moja ya sehemu yenye idadi kubwa ya watu ukiacha mziki nayo si nyingine ni Soka(Mpira wa Miguu). Soka letu linakua kiasi sasa ni muda wa kutumia fursa mbalimbali zilizopo kwenye Soka. Je ni ipi hiyo business idea? Hii ni business idea kwa ajili ya kuanzisha...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Ni aina gani ya biashara mtu anaweza kufanya Dodoma kwa mtaji wa milioni 2?

    Naomba ushauri wenu kujua ni aina gani ya biashara ambayo mtu anaweza kufanya Dodoma akiwa na milioni mbili.Asante
  14. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Business idea: kufungua nyama choma center

    Igweeeee Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza kurogana ni kuanzisha NYAMA CENTER NYAMA CENTER itakuwa inauza nyama za aina mbalimbali kama vile...
  15. Njaa

    JamiiForums Tanzania Natafuta business partner (only serious person)

    Hello Wanajamvi…… Nimekuwa na jitihada za kufungua biashara ya bucha la kisasa la samaki ambalo ndani yake kutakuwa na duka dogo la Cash-point (mobile money & internet banking), nje mitungi ya gesi. Vitu vifuatavyo tayari ninavyo (angalia picha…) Frem ya kisasa Leseni ya biashara Mashine ya...
  16. Ngongo

    JamiiForums Tanzania NMB - Arusha Business Center huduma mbovu

    Heshima sana wana jamvi, NMB ABC branch ni kwajili ya wafanyabiashara.Huduma zake unaweza kuziweka daraja moja na CRDB Premier mahususi kwa wafanyabiashara wa kati na wakubwa. Huduma za CRDB Premier zipo vizuri ukienda pale kama mtu wa level iliyokusudiwa wanakuelekeza tawi lingine. Huduma ya...
  17. R

    JamiiForums Tanzania The future of business in tanzania: “the need for comprehensive tax reform”

    Introduction Tanzania's current tax regime, characterized by a multitude of taxes and high rates, poses significant challenges for businesses and individual entrepreneurs. The array of taxes includes Import Duty (25%), VAT (18%), Excise Duty (10%), Rail Duty (5%), Corporate Tax (30%)...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Officer - Business Development and Access to Finance at HELVETAS July, 2024

    HELVETAS Swiss Intercooperation Tanzania (Helvetas) is an international NGO registered in Tanzania. Helvetas Tanzania looks for an enthusiastic colleague for the following post: Position – Project Officer – Business Development and Access to Finance Location –...
  19. Gambino X

    JamiiForums Tanzania Wazo La Kukuza Uchumi kwa Wakulima an Vijana

    Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko. Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Gamondi and Yanga business is over. Yanga seeking a new manager

    Well Gamondi and Yanga part away. it's over. Yanga will have a new manager next season as tonight: Gamondi refused a long term contract Gamondi is still in contact with other big teams. Gamondi has a contract but he is yet to sign. these are Gamondi words a few minutes before yanga...
Back
Top Bottom