bunge

  1. J

    Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

    Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona. Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake...
  2. Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

    MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa sheria wa marekebiaho ya sheria mbalimbali nchini namba 3 wa mwaka 2020. THRDC na LHRC wametoa tamko la kupinga muswada huo leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020 mbele...
  3. M

    Natafuta Hotuba ya Mwalimu Bunge la Afrika Kusini

    Natafuta hotuba nzima ya Mwalimu Nyerere katika Bunge la Afrika Kusini. Kila ninapotafuta Youtube napata clip fupi za dakika 2 au tatu. Wapi naweza kupata hotuba nzima?
  4. Kama Bunge lingevunjwa jana, leo ilikuwa ni majonzi makubwa kwa CHADEMA

    Hapo awali ratiba za bunge ilikuwa livunjwe may 28 na mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Lakini habari za uhakika ndani ya Chadema ni kuwa kuna wabunge na wanachama wengi wanasubili Bunge livunjwe ili wahame na kukiacha chama kinachomilikiwa na mtu mmoja Mbali ya hayo kimekuwa na...
  5. Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] - Ripoti ya CAG

    Bunge la Bajeti ,mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] kuhusu ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali[CAG] huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha Wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali...
  6. Ujerumani kuiwekea vikwazo Urusi kutokana na tuhuma za kudukua Bunge lake

    Wizara ya Mambo ya kigeni ya Ujerumani leo imemwita balozi wa Urusi kujadili uwezekano wa kuiwekea Moscow vikwazo kufuatia madai ya udukuzi ya mwaka 2015 dhidi ya bunge la Ujerumani, Bundestag. Taarifa ya wizara hiyo imesema balozi wa Urusi amearifiwa kuwaUjerumani inalenga kuuomba Umoja wa...
  7. J

    Tetesi: Wabunge wa viti maalumu wa CCM kutakiwa kugombea majimboni, bunge lijalo viti hivyo ni kwa wanawake wasomi wenye maono

    Ndio taarifa zinazosikika jijini Dodoma kwamba wabunge wote wa viti maalumu na wale wa kuteuliwa sasa wameshapata uzoefu wa kibunge hivyo chama kitawataka wakatafute majimbo wagombee. Bunge lijalo linategemewa kuwa na wabunge wa viti maalumu wote wapya waliosheheni sifa za kisomi na ubobezi...
  8. Sema parking ya Mond ni kama parking ya Bunge

    Aisee hela noma wakuu. Parking ya huyu mtoto mdogo ni kama parking ya bunge Gari zote za heshima nyingine ukizungusha funguo tu Lita nne za mafuta zinakata
  9. J

    Bunge lataka Serikali imchukulie hatua Dkt. Kigwangalla kwa matumizi mabaya ya fedha alizowagawia wasanii

    Wabunge wameitaka Serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini. Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati Serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli...
  10. TANZIA Simpasa Eliakim, Mwenyekiti wa kamati ya haki za Bunge 2000-2005 afariki dunia

    Aliyekuwa mbunge wa Mbozi Magharibi na baadaye jimbo hilo kubadilishwa na kuitwa Momba Miaka ya 1995-2005 Eliakim Simpasa amefariki majira ya saa 7 mchana leo hii katika hospitali ya Mkoa wa Songwe. Simpasa ambaye aliongoza kamat ya Haki, maadili na Madaraka ya Bunge atakumbukwa namna...
  11. GE2020 Njia pekee ya Mwita Waitara kuwa mbunge wa Bunge lijalo ni kuteuliwa. Hakuna jimbo analoweza kuchaguliwa kwa kura, hana ushawishi wowote

    Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri . Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote...
  12. J

    Bunge lampongeza waziri Ummy Mwalimu kwa kusimamia vizuri mapambano dhidi ya Corona na kuudhibiti

    Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo. Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari...
  13. Bunge lapitisha sheria ya wasambazaji wa sukari nchini kusajiliwa na kupewa leseni

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Profesa Adelardus Kilangi BUNGE limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria ya tasnia ya sukari, kwamba wasambazaji wa bidhaa hiyo ni miongoni mwa watu watakaotakiwa kusajiliwa pamoja na kupewa leseni. Akiwasilisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria...
  14. Rais Magufuli anatarajiwa kufunga Bunge Juni 19, 2020

    Spika wa Bunge Job Ndugai ametangaza mabadiliko ya ratiba ya shughuli za Bunge ambapo Bajeti Kuu ya Serikali itasomwa June 11, 2020 na shughuli za Bunge zitamalizika June 19, 2020 . "Tunamaliza shughuli za Bunge June 19,2020 ambapo panapo majaliwa Rais anaweza kuja kutufungia Bunge la 11...
  15. Moja ya sifa za Spika wa Bunge popote Duniani ni kuweza kuunganisha Wabunge kuwa kitu kimoja

    1. Unapoona pale Bunge linashindwa kuweka maridhiano kati ya Wabunge kwa jambo dogo, jua Spika ni tatizo! 2. Unapoona Spika anatoa maamuzi ya haraka na ya jazba ya jambo lililopaswa kupelekwa na kujadiliwa kwanza na kamati za bunge ujue ni vigumu sana kuleta umoja wa wabunge. Bahati nzuri...
  16. Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

    Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA. Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi. Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa...
  17. Profesa Kabudi: Mkutano wa marais 4 wa EAC Tanzania sio mwanachama ni wa Northern corridor

    HII NDIYO SABABU RAIS MAGUFULI HAKUHUDHURIA MKUTANO WA JANA WA NCHI NNE NA SADC: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Palamagamba Kabudi amelieza Bunge kuwa, mkutano uliohusisha nchi Nne jana pamoja na SADC ni mikutano ambayo Tanzania siyo mwanachama wake. Waziri Kabudi...
  18. Kauli zinazotolewa na Rais Magufuli na zile za Spika Ndugai kuhusu viongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA), zinashabiana sana

    Kwanza nieleze kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi kuna mihimili 3 katika nchi, ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama, ambayo inatakiwa kufanya shughuli zake bila kuingiliana, katika kile tunachokiita kwa Kiingereza kama "check and balances" Hali ni tofauti sana katika nchi hii, kwa kuwa Rais...
  19. J

    Wabunge wa Chadema wanaweza kukosa " bahati" ya kukutana uso kwa uso na Rais Magufuli na kupiga picha ya pamoja hadi bunge linavunjwa!

    Ikumbukwe kwamba wakati Rais Magufuli anafungua bunge mwishoni mwa 2015 wabunge wa Chadema walisusia kikao na kutoka nje ya ukumbi. Mwishoni mwa mwezi huu Rais Magufuli atalivunja bunge na kuna kila dalili huenda wabunge wa Chadema asilia hawatakuwepo ukumbini bali watakuwepo wale Chadema "...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…