Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,508
- 9,544
Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.
Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.