birthday

A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Leo ni Birthday ya Sultan wa Zanzibar

    Huwa inaadhimishwa kila mwaka kama sikukuu ya Sultani Jamshid wa Zanzibar. Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo
  2. Abrianna

    Its My Birthday, uzee unaniandama

    Ninamshukuru Mungu kwa kuiona siku ya leo nikiwa na afya na uzima, nimegundua kwamba uzee unaniandama maana mpaka sura imeanza kuota makunjo What makes me happy ni kwamba leo June 15 tunaugawa mwaka katikati kabisa bila kupunja upande mmoja, what a blessing kuzaliwa siku kama ya leo. Wale...
  3. Chakorii

    Happy birthday to me

    Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen Happy birthday 🎈🎊🎉🎁🎂 to me kwa mara nyingine tena. Happy birthday y’all team Gemini 🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️ Chakorii
  4. Mahondaw

    Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

    Hello guys Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya Mungu awabariki wapendwa. Pia, nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na...
  5. K

    Rais Samia azindua Kitabu cha Maisha ya Rais wa Tanzania wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

    Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anategewa kuwa mgeni rasmi siku ya uzinduzi wa kitabu Cha maisha ya rais wa awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi al maaruf Mzee Rukhsa. ======== Rais wa Tanzania Samia Suluhu anatarajia kuwa Mgeni rasmi kesho May 08, 2021...
  6. mr mkiki

    Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

    "Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo." -- Issa...
  7. Shadow7

    Marekani: Polisi waeleza kuisambaratisha birthday party ya Chris Brown kisa msongamano mkubwa wa magari

    Unaijua bithday party wewe ? magari zaidi ya 300 unahisi watu walioalikwa walikuwa wangapi ? unaambiwa msongamano wake kuelekea nyumbani kwa Breezy maeneo ya Tarzana California ulikuwa balaa ikabidi majirani na watu wanaoishi ameneo karibu na Breezy waite polisi. Ilianza kwa sauti kubwa...
  8. Erythrocyte

    Happy Birthday Joseph Mbilinyi Mbunge uliyeiletea heshima kubwa Mbeya , Mungu akupe Maisha Marefu

    Miaka ya zamani kidogo wanamuziki wa Hip Hop walionekana wahuni ambao zaidi ya kuimba na kuvuta bangi , hawakuonekana kama wanaweza kuongoza hata familia . Lakini wewe Sugu , Jongwe ambaye pia unaitwa RAIS WA MBEYA , ulifutilia mbali mawazo hayo ya kizamani na kuonyesha mfano uliotukuka kwa...
  9. britanicca

    Happy birthday World Football Entertainer of all The Time Ronaldinho Gaucho,

    Happy birthday World Football Entertainer of all The Time Ronaldinho Gaucho,
  10. Shadow7

    Lavalava: Leo ni birthday yangu naitumia kumuombea hayati Magufuli

    Kupitia Instagram yake msanii huyo wa WCB ameandika kuwa :- “Happy birthday To Me. Ahsante Mungu leo ni siku yangu ya kuzaliwa, nakushuru maana Kufika siku ya leo si kwa mabavu yangu bali ni kwa uwezo wako. Niseme tu nitaitumia siku yangu ya leo kumuombea aliyekuwa Rais wetu hayati Dr. JOHN...
  11. Erythrocyte

    Tarehe 19 February ni Birthday ya Meneja bora wa Kampeni za Mgombea Urais Barani Afrika , Amani Golugwa

    Binafsi namtakia kila la heri na namuomba Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu . Huyu mtu mambo aliyoyatenda kwenye ule ulioitwa uchaguzi mkuu wa octoba 2020 nchini Tanzania yatakumbukwa Daima
  12. Kipenzi Changu

    Happy Birthday CEO mzuri Barbara Gonzalenz

    Heri ya kuzaliwa mtalaam wetu Barbara
  13. Masiya

    Happy Birthday Commandant du Bord Josky Kiambukuta

    On this valentine day I wish a happy birthday to the voice of TP OK Jazz (1973-1993). Josky went through Dr Nico's African Fiesta Sukisa and Orchestre Continental from where he joined TP OK JAZZ . His voice is to be herd on most of the bands songs from Kebana to Bilonda. He then formed...
  14. J

    Happy Birthday CCM!

    Ni miaka 44 ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania. Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji. Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka Maendeleo hayana vyama!
  15. Return Of Undertaker

    Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

    Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa...
  16. Stroke

    Kuelekea Birthday yangu this weekend, nahitaji mchango wenu was mawazo kwa bajeti yangu.

    Happy New year ndugu zangu, Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday 🎂 zetu. Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele. Natanguliza shukrani.
  17. Mkogoti

    Happy birthday Mwaka Mpya: Nimemwagiwa maji kitandani

    Sina zaidi ya salaam maana naona ata uvivu kuandika, nasema haiwezekani Leo nipo nimelala zangu kitandani mara naskia Mwaaaaa nakurupuka ni nini nakutana na kitu maji yamejaa kitandani sio godolo sio shuka vyote chapa chap, nauliza kulikoni eti siku yangu ya kuzaliwa, Tena angalau wangechukua...
  18. F

    Wimbo wa " Happy Birthday utafasiliwe"

    Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri? Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno... Tutukuze utamaduni wetu watanganyika.!!
  19. Its Pancho

    Happy birthday to me panchito

    Namshukuru sana MUNGU aliye juu kwa kunipa uzima na mpaka sasa hivi ninaandika. Bila yeye hakika nisingeweza ,naomba anitimizie zaidi ya yale niliyomuomba japo apangalo huwezi pinga. Nami nakukaribisha 2021 kwa hasira zaidi kwani nina malengo na maisha yangu ..mke wangu na watoto wangu wawili...
  20. funaku

    Happy birthday Dkt. Magufuli-Pongezi kwako!

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya ndugu John Pombe Magufuli. #Ni tarehe 29 oktoba ya NEEMA Tele.
Back
Top Bottom