Wazazi muwe makini na birthday wanazokwenda vijana wenu. Birthday party nyingi ni sehemu ya kuhalalisha ushoga kwa Dar

nyboma

JF-Expert Member
Aug 29, 2021
2,200
6,890
Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
 
Sasa hivi ukizaa mtoto wa kiume unapaswa kumchunga zaidi kuliko wa kike maana Hali imekuwa mbaya sn

Juzi Kati Tu hapo Dodoma dogo wa miaka 8 kaenda ugenini kapewa chumba cha kulala na mtoto wa mwenye nyumba wa miaka 4 usiku akamlawiti.Sasa unajiuliza mtoto wa miaka 8 anafanya ushetani km huo,huko mbele tunakoelekea kupoje?

Tatizo la ushoga na ulawiti ni kubwa sana
 
Nimeshuhudia tukio la kushangaza mwezi uliopita, vijana na birthday yao ni jambo la kutia hasira na aibu kwa jamii na taifa
Tanzania si mahali salama kwa vijana wa kiume, washenzi wanawawinda mno. Mbaya zaidi hii hali imeenea mno kwa wanafunzi wa chuo maana wengi wao wanapenda sana starehe ambazo hawazimudu.
 
Sasa hivi ukizaa mtoto wa kiume unapaswa kumchunga zaidi kuliko wa kike maana Hali imekuwa mbaya sn

Juzi Kati Tu hapo Dodoma dogo wa miaka 8 kaenda ugenini kapewa chumba cha kulala na mtoto wa mwenye nyumba wa miaka 4 usiku akamlawiti.Sasa unajiuliza mtoto wa miaka 8 anafanya ushetani km huo,huko mbele tunakoelekea kupoje?

Tatizo la ushoga na ulawiti ni kubwa sana
Hali ni mbaya sana kwa vijana
 
Sasa hivi ukizaa mtoto wa kiume unapaswa kumchunga zaidi kuliko wa kike maana Hali imekuwa mbaya sn

Juzi Kati Tu hapo Dodoma dogo wa miaka 8 kaenda ugenini kapewa chumba cha kulala na mtoto wa mwenye nyumba wa miaka 4 usiku akamlawiti.Sasa unajiuliza mtoto wa miaka 8 anafanya ushetani km huo,huko mbele tunakoelekea kupoje?

Tatizo la ushoga na ulawiti ni kubwa sana
Nina jambo lilinikuta juzi kati
Dogo mmoja wa first year chuo fulani anaomba nikamle
Dah sitosahau sikuamini aisee kama hali imefikia hivi. Miaka kumi mbele kutakua hakutamaniki kwa ushetwani huu
 
Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
siku hizi wameamua kuitengenezea na jina kabisa, wanaita new pussy in town, wengine mbususu pori.
 
porno zinawaaribu madogo, dogo kajaribu kanogewa. Sasa kaamua atafute wa kuendelea kumtekenya tigo.
Nilijaribu kundadisi kidogo mwanzo wa tukio lake. Akaniambia kazaliwa hivyo yaani anapenda kuingiliwa na na nikamuuliza vipi ushawahi kut*ba mwanamke akadai hajawahi na hataki kabisa. Nikamuuliza unasimamisha. Akajibu akiwa anataka kuingiliwa ndio inasimama. Nilichoka sana hiyo siku kwa kweli.
 
Back
Top Bottom