nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,200
- 6,890
Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.
Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.
Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.
Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.
Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.
Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.
Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.
Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.
Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.
Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.