Ni kama jini si jini!,labda niseme mzuka lakini ni mzuka gani unawezakuwa mzuri kiasi kisichoelezeka..??!
Kufupisha mambo sitasimulia nimekutananae vipi ila baada ya majuma kadhaa yakuzoeana akanikaribisha anapoishi.
Ilikuwa mida fulani ya mchana ambao jua lilikuwa likipambana na mawingu...