MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,881
- 6,307
habari wadau.
baada ya muimbaji wa gospel maarufu nchini Nigeria Moses Bliss kumchumbia Binti wa kighana mwenye uraia wa uingereza ambaye amejuana nae kupitia mtandao wa instagram mwaka jana. Limeibuka kundi kubwa la wanawake wa ki nigeria mtandaoni wakimlalamikia muimbaji huyo kwa kuwatosa mademu zake wa zamani aliokuwa anaimba nao kanisani. sababu wanatoka familia zisizo na uwezo mzuri,
wanalalamika kwamba kuna mdada amedate na Moses Bliss miaka kibao toka enzi za shule ametoswa na Muimbaji huyo baada ya moses bliss kukutana na huyo dada instagram ambapo fasta fasta amemchumbia kabisa na anatarajia kumuoa siku za karibuni. wakidai sababu kuu ya kumchumbia huyo dada ni uwezo wa kiuchumi maana anatoka familia mambo safi, ana uraia wa uingereza, na ana elimu nzuri kutoka vyuo vikubwa majuu. hivyo yule aliokuwa nae toka utotoni amepigwa chini maana hana fursa za kiuchumi.
KIZAZI CHA SASA KAZI TUNAYO SIO WANAWAKE SIO WANAUME WOTE WANATAZAMA FURSA ZA KICHUMI KWANZA NDIO WANAFUNGA NDOA NA WEWE.
baada ya muimbaji wa gospel maarufu nchini Nigeria Moses Bliss kumchumbia Binti wa kighana mwenye uraia wa uingereza ambaye amejuana nae kupitia mtandao wa instagram mwaka jana. Limeibuka kundi kubwa la wanawake wa ki nigeria mtandaoni wakimlalamikia muimbaji huyo kwa kuwatosa mademu zake wa zamani aliokuwa anaimba nao kanisani. sababu wanatoka familia zisizo na uwezo mzuri,
wanalalamika kwamba kuna mdada amedate na Moses Bliss miaka kibao toka enzi za shule ametoswa na Muimbaji huyo baada ya moses bliss kukutana na huyo dada instagram ambapo fasta fasta amemchumbia kabisa na anatarajia kumuoa siku za karibuni. wakidai sababu kuu ya kumchumbia huyo dada ni uwezo wa kiuchumi maana anatoka familia mambo safi, ana uraia wa uingereza, na ana elimu nzuri kutoka vyuo vikubwa majuu. hivyo yule aliokuwa nae toka utotoni amepigwa chini maana hana fursa za kiuchumi.
KIZAZI CHA SASA KAZI TUNAYO SIO WANAWAKE SIO WANAUME WOTE WANATAZAMA FURSA ZA KICHUMI KWANZA NDIO WANAFUNGA NDOA NA WEWE.