sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,099
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume