Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,716
- 36,180
Habari zenu!
Kama kawaida sisiti kuachia nyuzi za upendo kwa dada zetu. Lengo ni jema tu ingawa wasiotaka kubadilika hunichukia.
Mama mwenye familia yake haijalishi ameolewa au hajaolewa. Haijalishi amepanga au anaishi kwenye nyumba yake, mama anayeanini katika kazi za mkono wake. Anauza ndizi, mboga, matunda, uji, karanga, genge n.k.
Mama ambaye hatumii mwili wake kama chanzo cha kipato.
Amebarikiwa huyo mama, uzao wake utabarikiwa.
Binti mwenye viuongo vyote hataki kufanya kazi halali, kutwa kutwa kutingisha makalio Instagram, TikTok, Binti kutwa kutwa kuzurura bar mbalimbali kujiuza.
Binti anayejifanya kufanya biashara sehemu kumbe biashara ni mtego tu, lengo lake kubwa ni kufanya ufuska apate pesa amelaaniwa yeye na atakaowazaa.
Binti ambaye kazi yake kufanya ngono na waume za watu Ili apate pesa.
Binti ambaye kutwa kutwa kutuma picha Facebook ili atongozwe inbox.
Amelaaniwa.
Haijalishi anapata fedha kiasi gani, amelaaniwa.
Acha mara moja. Utatuletea kizazi kilicholaaniwa , kisicho na faida kwa Taifa.
Kama kawaida sisiti kuachia nyuzi za upendo kwa dada zetu. Lengo ni jema tu ingawa wasiotaka kubadilika hunichukia.
Mama mwenye familia yake haijalishi ameolewa au hajaolewa. Haijalishi amepanga au anaishi kwenye nyumba yake, mama anayeanini katika kazi za mkono wake. Anauza ndizi, mboga, matunda, uji, karanga, genge n.k.
Mama ambaye hatumii mwili wake kama chanzo cha kipato.
Amebarikiwa huyo mama, uzao wake utabarikiwa.
Binti mwenye viuongo vyote hataki kufanya kazi halali, kutwa kutwa kutingisha makalio Instagram, TikTok, Binti kutwa kutwa kuzurura bar mbalimbali kujiuza.
Binti anayejifanya kufanya biashara sehemu kumbe biashara ni mtego tu, lengo lake kubwa ni kufanya ufuska apate pesa amelaaniwa yeye na atakaowazaa.
Binti ambaye kazi yake kufanya ngono na waume za watu Ili apate pesa.
Binti ambaye kutwa kutwa kutuma picha Facebook ili atongozwe inbox.
Amelaaniwa.
Haijalishi anapata fedha kiasi gani, amelaaniwa.
Acha mara moja. Utatuletea kizazi kilicholaaniwa , kisicho na faida kwa Taifa.