Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboniInafahamika wazi Ibrahimu baba yetu wa Imani alikuwa na Watoto kadhaa akitangulia Ishmael aliyekuwa mkubwa Isaka na Watoto wengine aliozaa na Ketura mke aliyemuoa baada ya kufiwa na Sara ambao ni Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Sua
Nimepitia maandiko na kuona ni mtoto mmoja tu Isaka aliyepewa maagizo na Ibrahimu ya kutokuoa Mabinti wa Kanani na badala yake aende kuoa kwenye nchi aliyotoka Ibrahi
Wasomi wa maandiko kwanini Ibrahimu hakutoa mwongozo huo kwa Watoto wake wote aliowapend
Karibuni tujadi
Niwatakie usiku mwem
MWANZO 24: 2
Ibrahimu akamwambia mtumishi wake, mzee wa nyumba yake, aliyetawala vitu vyake vyote, Tafadhali uutie mkono wako chini ya paja langu
Nami nitakuapisha kwa Bwana, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao
Bali enenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.; , -4a lia?mu.
Nimepitia maandiko na kuona ni mtoto mmoja tu Isaka aliyepewa maagizo na Ibrahimu ya kutokuoa Mabinti wa Kanani na badala yake aende kuoa kwenye nchi aliyotoka Ibrahi
Wasomi wa maandiko kwanini Ibrahimu hakutoa mwongozo huo kwa Watoto wake wote aliowapend
Karibuni tujadi
Niwatakie usiku mwem
MWANZO 24: 2
Ibrahimu akamwambia mtumishi wake, mzee wa nyumba yake, aliyetawala vitu vyake vyote, Tafadhali uutie mkono wako chini ya paja langu
Nami nitakuapisha kwa Bwana, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao
Bali enenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.; , -4a lia?mu.