wanzzuki
Member
- Feb 27, 2024
- 66
- 129
Shikamooni wakubwa,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.
Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.
Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22 nipo chuo mwaka wa pili. Kwenye darasa ninalosoma yupo msichana ambaye mmoja nampenda sana na ni rafiki yangu sana ila shida inapokuja kila napojaribu kumfungukia kuwa nampenda amekuwa mtu ambaye hanipi jibu straight kuwa amekubali au hataki kuwa na mimi.
Kuna muda nikisemaga nimkaushie nisimtafute hata kidogo huwa namuonaga kabisa anakosa amani kabisa anaonekana, ila nikimrudia tu kumuongelesha furaha yake inarudi halafu tena nkimtokea anaanza kupiga chenga hanipi jibu lile la moja kwa moja.
Nimejaribu njia labda ya kumhandle ili asione kama namrush kuwa na mimi ila bado njia zote zinagonga mwamba, kwani hasa ila msichana akupende inatakiwa mtu ufanyeje maana nampenda sana?