Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
muda mwingi nipo kazini hivyo dukani naacha msaidizi.
Kwa miaka miwili mfululizo duka lilikuwa na wateja wengi na nilidhani mimi ndie mjanja nilieumiza kichwa kuchagua eneo zuri, kuweka bei, kuweka bidhaa original, n.k. yani niliona mimi ndio genius, kila baada ya wiki 2 mzigo ulikuwa unakata inabidi niagize, Daftari la mauzo lilikuwa linameremeta kwa kurasa zilizojaa mauzo. pesa za dukani nilikuwa nazitenganisha kwa mafungu ya milioni, simu za wateja wenye hasira hazikukauka mzigo ulipokata,
Ni kwa kipindi cha miaka miwili nfululizo mambo yalikuwa bampa to bampa, binti akaja kupata mimba na akaondoka, muda mchache baadae aliolewa na kuhama mkoa.
Binti alikuwa kaishia form 4 nikaona acha nijiongeze niweke waliosoma chuo hata kozi za secretary, hotel, tourism, n.k. maana huwa wanagusia masomo ya biashara... LOOOH! Biashaea imedorora sanaaaa.
Mabox yamekusanya vumbi, kukaa siku mbili tatu bila kuuza imekuwa kawaida, oesa nazitenga kwa mafungu ya laki, pesa za mauzo zinaishia kwenye mshahara, chakula, usafiri wa binti anaeuza duka.
nimebadili binti nimeweka mwengine kuna nafuu lakini mauzo bado ni ya kusua sua, mzigo hadi uishe inapita miezi mitatu
Kwa miaka miwili mfululizo duka lilikuwa na wateja wengi na nilidhani mimi ndie mjanja nilieumiza kichwa kuchagua eneo zuri, kuweka bei, kuweka bidhaa original, n.k. yani niliona mimi ndio genius, kila baada ya wiki 2 mzigo ulikuwa unakata inabidi niagize, Daftari la mauzo lilikuwa linameremeta kwa kurasa zilizojaa mauzo. pesa za dukani nilikuwa nazitenganisha kwa mafungu ya milioni, simu za wateja wenye hasira hazikukauka mzigo ulipokata,
Ni kwa kipindi cha miaka miwili nfululizo mambo yalikuwa bampa to bampa, binti akaja kupata mimba na akaondoka, muda mchache baadae aliolewa na kuhama mkoa.
Binti alikuwa kaishia form 4 nikaona acha nijiongeze niweke waliosoma chuo hata kozi za secretary, hotel, tourism, n.k. maana huwa wanagusia masomo ya biashara... LOOOH! Biashaea imedorora sanaaaa.
Mabox yamekusanya vumbi, kukaa siku mbili tatu bila kuuza imekuwa kawaida, oesa nazitenga kwa mafungu ya laki, pesa za mauzo zinaishia kwenye mshahara, chakula, usafiri wa binti anaeuza duka.
nimebadili binti nimeweka mwengine kuna nafuu lakini mauzo bado ni ya kusua sua, mzigo hadi uishe inapita miezi mitatu