biashara

  1. C

    Kama kuna location umeiona inafaa kwa kufungua biashara ya Stationary, pitia hapa unidokeze

    Wakuu habari yenu. Kuna vifaa vya stationary nimeachiwa na my brother, yeye kapata kazi mkoa mwingine so ameniachia ili niweze kuvitumia kwa biashara eneo alilokuwa anafanyia hiyo biashara mwanzo lilivunjwa kupisha maboresho ya miundombinu. So naomba kama kuna mtu yeyote humu kaona mazingira...
  2. Kenya yaendelea kuzuia Watanzania kuingia Taveta na kufanya biashara

    Wafanyabiashara katika mpaka wa Holili uliopo Wilaya ya Rombo wamelalamikia kitendo cha wao kunyimwa kuingia nchini Kenya kufanya baishara na kutakiwa kuagiza mizigo kwa njia ya simu huku wao wakiingia nchini na kufanyabiashara bila kubughudhiwa. ======= nomasana, sam999, NairobiWalker...
  3. Baaadhi ya sababu za biashara kushindwa kustawi

    Kuanza biashara ni jambo moja lakini kuiendesha isimame na kudumu ni jambo lingine tena linalohitaji kutuliza akili na kuwa na nidhamu sana katika biashara. Zipo biashara ambazo huanzishwa na hatimae hufa kwa sababu mbalimbali. Baadhi ya sababu hizo ni kama zifuatazo:- Mazingira/wakati...
  4. P

    Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

    Kuna mda huwa tunafanya makosa mengi sana katika maisha tena mengine ya kujitakia kabisa ambayo ukiyakumbuka baadae unayajutia sana. Binafsi kama ningetumia mda vizuri ningekuwa mbali sana sana kimafanikio kuliko nilivo sasa. Kipindi namaliza O' level baada ya matokeo kutoka nikapangwa Moshi...
  5. TCCIA-Hali ya biashara ni mbaya Dodoma

    CHAMA cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Dodoma, kimesema japo serikali haijawafungia watu ndani, lakini hali ya biashara mkoani hapa imeendelea kuwa mbaya siku hadi siku. Akizungumza wakati wa mahojiano na Habari- LEO, Mwenyekiti wa TCCIA mkoani hapa, Denis...
  6. D

    Onions Suppliers from Tanzania

    Natokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu. Asante
  7. N

    Serikali ipige marufuku biashara ya minofu ya samaki kwenda Ulaya

    Hivi karibuni hii biashara ya kusafirisha minofu kutoka kanda ya ziwa kwa kutumia mashirika kama Rwanda Air na leo tena nimesikia Ethiopian airways imerudi kwa kasi na kimekuwa kama kitu cha kujivunia hadi waziri anaenda kushuhudia. Wengi humu tunajua watoto wetu wamedumaa kwa zaidi ya asilimia...
  8. Mark Zuckerberg aja na kitu kizuri kinaitwa Facebook Shops. Hii itatufaa sana, kila mtu atakuwa huru na biashara yake jinsi ya kuuza

    I just announced that we're launching Facebook Shops today – the basic idea is that any small business can easily start a shop to sell things directly across our apps. If you visit someone's shop, you'll be able to see that small business's story, see their featured products, and buy them in our...
  9. Namna nilivyoanza biashara kwa uoga mpaka kufikia hapa nilipo, nilichogundua biashara haihitaji elimu nyingi ya darasani

    Wakuu naomba kufupisha historia yangu ya kuanzisha biashara nilipokuwa kwenye kibarua fulani nina imani hata wewe itakusaidia sana pengine kama sio wewe ni mwingine. Miaka kadhaa nyuma nilipokuwa nimepata kibarua fulani nilikuwa nimekaa mda mrefu nikiwaza biashara kichwani ila nilikuwa naogopa...
  10. Covid-19 imetikisa biashara ya Utalii duniani

    Wakati majira ya kiangazi yanakaribia nchi nyingi zinazotegemea utalii kama sehemu ya mapato ya ndani zimeanza kufikiria mbinu za kuongoza biashara bila kupoteza kabisa soko. Cyprus Wanaruhusu watalii wanaoingia na cheti cha maabara kilichotolewa ndani ya siku nne mpaka msafiri anapoingia...
  11. Natafuta mtu wa kufanyanae biashara

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nimemaliza elimu ya secondary mwaka 2017 nashukuru nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kuchaguliwa hvyo kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiliamali na kuweza kupata ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani...
  12. T

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mnaua biashara na mzunguko pia wa pesa

    Ndugu zangu TRA mimi naomba niwaambie ukweli mnauwa biashara siwafichi nasema ukweli ukweli mtupu. Mnauwa biashara na mnaenda kuuwa secta ya fedha kabisa. Hivi mnajuwa watu wanatoa pesa bank na hawataki kusikia akaunti? Hivi mnajuwa hizi estimate mnawapa watu zinawafanya kufunga biashara na...
  13. Nauza asali mbichi napatikana Buguruni Sheri

    Nauza asali mbichi napatika Dar es salaam eneo la Buguruni Sheri. Bei yake ni Robo lita 3000 Nusu lita 6000 Lita moja 12000 Lita 5. 55000 Lita 20. 200000 No 0746696878
  14. Biashara ya Mpunga Dodoma

    Wakuu habari napenda kuuliza anaefahamu kuhusu biashara ya kukoboa na kuuza mpunga maeneo ya Dodoma mjini na hata pembezoni mwa jiji. Ningependa kufahamu 1. Upatikanaji wa mpunga kwa bei rahisi na mzuri huwa hasa maeneo gani? 2. usafirishaji wake ukoje na garama yake ina range kiasi gani? 3...
  15. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    As Salaam alaykum Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga. Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika. Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi. * Tanga * Mtaji hata mdogo * Mwaminifu (Muislamu...
  16. Wafanyabiashara wa sukari zaidi ya 51 kufikishwa mahakamani kwa makosa ya kuhodhi sukari na uhujumu uchumi

    Wafanyabiashara zaidi ya 51 waliokamatwa kwa makosa ya kuuza sukari kwa bei juu tofauti na bei elekezi ya serikali watafikisha mahakamani muda wowote kuanzia sasa kwa makosa ya uhujumu uchumi. Hayo yamebainisha na waziri wa kilimo leo, alipokuwa akikagua shehena ya sukari tani 2900 iliyowasili...
  17. L

    Imagine karne ya 21 kiongozi anatumia neno Mabeberu kama silaha. Anajua kweli ubeberu upo hata kwenye biashara ya mchicha hapa nchini?

    Maana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI. Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara? Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha...
  18. M

    Tractor gani nzuri kwa biashara New Holland, John Deer au Massey Ferguson?

    Wana bodi ? naomba ushauri nataka kuwanunulia ndugu zangu wasio na ajira na tegemezi kifaa cha kazi ambacho watafanyia biashara wajikimu na kirudishe hela yangu mapema with minimum risk, nimewaza kuhusu tractor cause nina access na tractor john deer ku nilipo zipo nyingi na nzuri ila sijui kama...
  19. B

    Hizi biashara za vyakula hazisambazi covid-19 kweli?

    Moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi biashara za vyakula mfano: miwa iliyo menywa, mahindi ya kuchomwa, nk. Hivi hushikwa shikwa na watayarishaji hasa kwa miwa. Mahindi ya kuchomwa hushikwa shikwa hata na wateja kujiridhisha ugumu au ulaini wake. Sahani za vyakula, nyuma (uma), vijiko, vikombe...
  20. M

    Ushauri wa biashara

    Je, ni bidhaa gani kutoka bara la Ulaya (Europe) zinafaa kwa biashara Tanzania. Kuna kampuni inasafirisha mizigo moja kwa moja East africa, ningependa kufanya partnership pamoja nao. Asanteni kwa maoni yenu.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…