Mali Asili lita moja wanauza tshs ngapi Mkuu?Bei mkasi usibishe asee
Niliwai enda pale wizara ya maliasili na misitu wiki iliyopita wana asali za nyuki wadogo wanauza bei poa tu na ata mtaani asali inauzwa lita moja mpk 9 niko na mtu ana import kutoka tabora
Sent from my iPhone using JamiiForums
Njooo utoe jibu huku mkuu