Nauza asali mbichi napatikana Buguruni Sheri

Rion Jr

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
580
610
Nauza asali mbichi napatika Dar es salaam eneo la Buguruni Sheri.

Bei yake ni
Robo lita 3000
Nusu lita 6000
Lita moja 12000
Lita 5. 55000
Lita 20. 200000

No 0746696878
CB695166-CA3C-4050-890B-BF9850B7C66F.jpeg
0539D312-23D0-4FDD-A7A1-90A594A8D13F.jpeg
 
Bei mkasi usibishe asee
Niliwai enda pale wizara ya maliasili na misitu wiki iliyopita wana asali za nyuki wadogo wanauza bei poa tu na ata mtaani asali inauzwa lita moja mpk 9 niko na mtu ana import kutoka tabora


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nyuki wadogo lita moja ndio 12k nyuki wakubwa 9k
Inategemea ndoo maana wengne wanauza had 15000 ila bei yake ni 12000 hyo sijawah ona la kwa wanaotembeza tena nawenyewe wanakua wamechakachua



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom