biashara

  1. britanicca

    Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

    Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama. Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai...
  2. Kuku kwiyoyo

    Ushauri: Ninamtaji wa milioni 3 lakini sijui nifanye biashara gani

    Habari wanaJamiiForums Nirudi kwenye Mada husika. Mimi ni mwanachuo kilichopo Dodoma nipo mwaka wa kwanza. Sasa hapa nilipo nilikuwa nina milioni tatu lakini natamani zijizalishe ili nitakapomaliza masomo niwe na mtaji mkubwa lakini sijajua nifanye biashara gani ambayo haitoniaribia ratiba ya...
  3. Aizi Azma

    NGO's vs Serikali vs Biashara: Nani anaweza kutatua changamoto za kijamii?

    Coronavirus limekuwa ni janga kubwa la kijamii. Lakini, kwa bahati mbaya, sio janga pekee la kijamii ambalo dunia inalikabili kwa mwaka huu 2020. Mabadiliko ya hali ya hewa. Kuongezeka kwa 'gap' la walionacho na wasionacho. Ongezeko kubwa la watu. Mgawanyo usio sawa wa matumizi ya rasilimali...
  4. Wakanda Logistics

    Clearing and forwarding (logistics)

    DN holdings company limited ni logistics company inahusika sana na kutoa shehena za mizigo mbalimbali bandarini kama mawakala wa forodha(clearing and forwading) Dn holdings company limited tunapatikana nkrumaha street p.O.Box 6924 dar es salaam na kamata stesheni ya train. Kwa mawasiliano...
  5. Janja PORI

    Kwa Wataalamu wa Kodi na mambo ya Biashara au TRA

    Wadau sana, habari zenu? Naomba kuuliza, kama mimi ni Consultant/Mtalamu nafanya kazi zangu na mashirika yasiyo ya kiserikali na napata angalau kamkate ka nyumbani, wale wanao nipatia kazi hunikata 5% ya malipo yangu je hii iko sawa? 2. Je, natakiwa kuwa na leseni ya biashara mimi kama mimi...
  6. kokudo

    Msaada: Naomba kusaidiwa jina la biashara

    Wakuu habari, Naomba kusaidiwa jina la biashara. Naomba liwe fupi lakini lenye kuakisi ninachokifanya. Biashara ninayotaka kufanya ni Agent wa kuwa naagiza mizigo kutoka Nje. Naomba kuwasilisha.
  7. Z

    Partnership : Biashara ya uuzaji mafuta ya gari

    Habari Ningetaka kuanzisha biashara ya uuzaji mafuta ya gari Ninatafuta partner. Masharti : Awe na skype, tuzungumze kwa haraka. Kama hapendi kuandika / Kusoma, sina haja. Ahsante
  8. G

    Biashara ya delivery

    Kwema wakuu.!! nilikua nahitaj kupata mchango wa mawazo kwa wale wenye uzoef kidogo na biashara gani mtu anaweza fanya kwa kuzungusha madukani na kufanya delivery kwa baadh ya watu. mfano hawa wanaotembeza sigara kwa pikipiki. Tofauti na hivo ni biashara gani nyingne unaweza ifanya kwa...
  9. jitombashisho

    Serikali ianzishe mara moja biashara ya kusafirisha abiria mikoani

    Naitaka Serikali ifufue na ianzishe upya Shirika la mabasi ili gharama za usafishirishaji ziwe rahisi. Kwa kuliacha soko la usafirishaji abiria kuwa huru ndipo sasa gharama za kusafiri zimekuwa juu! Eti leo ili nifike kwetu IMALASEKO inanibidi niwe na kiasi kisichopungua elfu sabini (70000) hii...
  10. S

    Hasara hii ya zao la korosho iliyotokana na Serikali kujiingiza katika biashara ya korosho nani ataibeba?

    Hii ni sehemu ya uchambuzi wa Bajeti uliofanywa na ACT-Wazalendo
  11. Saad30

    Biashara ya duka la aluminium

    Wakuu nahitaji kujua ni shilingi ngapi zinatosha kuanzia kufungua duka la vioo na aluminium?
  12. K

    Mawazo kwa wasanii wa filamu: Tumieni mbuga zetu/ Wanyama wetu biashara zenu zitapata pesa sana

    Biashara ya filamu imeenda chini sana kuanzia enzi za Kanumba kwasababu hakuna ubunifu. Mimi kama diaspora nimefanya uchunguzi kujua kwanini hii inatokea. filamu zetu zinaiga na kujaribu kushindana na Nigeria lakini Tanzania tuna kitu kimoja ambacho wenyewe hawana. Sijawahi kuona picha kutoka...
  13. Extrovert

    Usijaribu kufanya biashara za ahadi na wabongo utaumia (Promissory Notes)

    Biashara za ahadi ya malipo ya tarehe fulani (Promissory Notes). Kwa wabongo ni sumu usijaribu huwa hawajali muda! Hii kitu imenisababishia headaches mpaka sasa nimekwama. Kuna watu nimewauzia mali wakalipia Advance ila kumalizia mikia ndio imekuwa shughuli. Tunasumbuana mpaka nafikiria...
  14. palesh pizoo

    Nataka kufungua biashara ya saluni lakini nahofia kuanza kutokana na Corona. Naomba mawazo yenu

    Habari za kazi wapambanaji mimi ni mkazi wa Dodoma mjini nilipoanza mwaka 2020 nliandaa mpango wa kufungua saloon ya kusuka ifikapo mwezi March mwaka huu lakin ilipofika huo mwezi ikawa kumeingiliana na mambo ya Corona hali ikawa sio nzuri nikahofia sananhasa kwa biashara ambayo inaanza nilipata...
  15. F

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Mimi ni Kijana mwenye bachelor yangu ya IT lakini nimeamua kujikita kwenye biashara ya ununuzi wa mazao kama soya, ufuta na mahindi kwa kipindi hiki cha mavuno kutokana na kuwa na uzoefu na biashara hii kwa muda mrefu sababu nimekulia mazingira ya kijijini. Lengo langu nipate mtu atakayekuwa...
  16. L

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Napatikana( Simanjiro) mji mdogo wa Orkesumet natafuta mtu mwenye mtaji tufanye biashara ya mazao kipindi hiki cha mavuno, mazao ya Mahindi na Maharage. Mawasiliano zaidi ni 0688057418 na 0757057873
  17. D

    Namna bora ya kutokomeza biashara ya ukahaba

    Zunguka duniani kote! Biashara ya ukahaba ipo tangu enzi za mitume! Hata Yesu mwenyewe katika pitapita zake mtaani Aliwahi kukutana na kisa Cha kahaba! , Ni pale kahaba alipo busu miguu ya Yesu na kumfuta kwa nywele zake,...Ni pale alipowaambia wale sungusungu ...."Ambae hajawahi kutenda...
  18. J

    Gairo: DC amtuhumu mwenyekiti wa CCM kuhongwa gari na mbunge Shabiby, mwenyewe akana asema amenunuliwa na Dkt. Mwigulu. Kesi iko Takukuru

    Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo. Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali...
  19. J

    DC Katambi: Wabunge wa upinzani wanaongoza kwa biashara ya kununua huduma za makahaba jijini Dodoma, orodha ya majina yao ninayo.

    Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini mh Patrobas Katambi amesema biashara ya ukahaba imeshamiri wilayani kwake na wanunuzi wakuu wa Huduma hiyo ni wabunge na zaidi wa upinzani. Katambi amesema kuanzia sasa hawatawakamata makahaba pekee bali pamoja na wateja wao. Amedai kuwa anazo namba za magari ya...
  20. Return Of Undertaker

    Kwa zaidi ya miaka 20 haijawai kutokea soko la hisa la Dar (DSE) kushindwa kufanya biashara ya hisa kama ilivyotokea tarehe 5, hakuna kuuza wala kunun

    It’s highly unusual for a 20 year+ established Stock Exchange to have a trading volume of 0 - a whole trading day without a single share being traded. Not even a cent! One for the financial history
Back
Top Bottom