Maana nyepesi ubeberu au beberu kama inavyotumika kwa muktadha wa siasa ni ADUI au UADUI.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha majumbani mwetu ukifuatilia utagundua kuna ubeberu ndani yake.
Silaha kubwa ya dunia ya sasa ni mahusiano , zama hizi neno beberu halina nafasi hata kama tabia/ mfumo bado upo.
Je, tujiulize hapa kwetu tz hatuna mifumo ya kibeberu makazini, kwa wakulima au kwenye biashara?
Kimsingi ukifuatilia hata kwenye biashara ya mchicha ambao huwatunawaona wakinamama wakipitisha mchicha majumbani mwetu ukifuatilia utagundua kuna ubeberu ndani yake.
Silaha kubwa ya dunia ya sasa ni mahusiano , zama hizi neno beberu halina nafasi hata kama tabia/ mfumo bado upo.