azam

  1. A

    Ushauri: Azam Tv angalieni watangazaji wenu hasa kwenye uchambuzi wa mpira

    Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao wanafadhahisha sana jamii katika maeneo yao ya kila siku , ushauri unapikelewa au kukataliwa, angalieni...
  2. kavulata

    Vifurushi vya Azam tv sio rafiki kwa maskini

    Ni watu wasiokuwa na sh. 28,000 kwa pamoja (maskini) kwa mwezi ambao watalazimika kulipia vifurushi vya wiki kama vile sh. 9,000 ili waweze kuangalia channels pendwa kwao. Wiki moja ina siku 7 na mwezi mmoja una siku 30. Hivyo basi anaelipa 28,000 kupata kifurushi cha mwezi (tajiri) anatumia...
  3. K

    Azam yampokea Mpiana, Mapengo ya nyota hawa bado yawatesa

    Azam imempokea Mpiana Moziz kutoka FC Lupopo kuziba pengo la mcameroon Thiery Akono aliyeuzwa Malaysia. Imefanya mapokezi yasiyokuwa na 'mbwembwe'. Wakati ikiendelea kujiimarisha Azam imeshindwa kabisa kuziba mapengo ya Bocco, Manula, Nyoni, Wawa na Kapombe na hivyo sasa imekuwa timu mshiriki...
  4. B

    Wakristo tuisusie Azam TV, wanatutenga Krismasi

    Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa. Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani...
  5. Sam 2023

    Azam wameleta king'amuzi cha antena

    Habari ya wakati huu! Nimeona tangazo la dekoda ya antena ya azam kwa bei ya 99,000/= tu. Muonekano wa picha ni HD. Bei za vifurushi zimegawanyika kwenye makundi tofauti 8,000/=, 13,000/=, 23,000/= 28,000/=. Natumaini ujio wa azam utaleta changamoto ya kibiashara kwa washindani wake...
  6. albab

    Msaada king'amuzi cha Azam

    Nikiwa home muda huu niijulie dunia hali ghafla nakuta madudu AZAM TV. WASAFI TV inaonesha na ndo chanel ya kwanza kufunguka na sijailipia. Nikazima na kuwasha sasa naona inajibonyeza bila mpangilio tena bila hata matumizi ya rimoti. Shida nini wajuvi nisaidieni
  7. Jacobus

    Azam FC wangeufuata ushauri wa Kikwete yasingewakuta haya.

    Wakuu, nakumbuka mheshimiwa Jakaya Kikwete aliwaasa Azam FC kutoendekeza Usimba na Uyanga kama wanataka kufika mbali zaidi kisoka pale alipoalikwa kama mgeni rasmi miaka zaidi ya saba hivi sasa iliyopita. Inavoonekana ushauri (wosia) huo wameuweka pembeni ndo maana tunaona sasa ni kama 'academy'...
  8. Mlalamikaji daily

    Je, nani anaweza kumzidi mwenzake soko kati ya Azam na DStv endapo hili likifanyika?

    Wadau nimejaribu kuwaza endapo haya makampuni mawili yakafanya kile ambacho kila mmoja anafanya. Je, nani atafungasha virago? Nani atapoteza pambano? Najiuliza endapo Azam ataonesha UEFA, EPL na Europa ligue Ama DSTV akionyesha Ligi ya bongo (VPL) Nani atakimbia?
  9. B

    Vilabu vya Simba, Azam na Yanga kuna hela

    Wanabodi kwa takribani miaka mingi sasa Simba, Yanga na Ujio wa Azam kumekuwa na tatizo la kifedha kwa vilabu kama Simba na Yanga. Lakini ujio wa MO simba na GSM kwa yanga inaoneakana kuna uhai kidogo. Azam wao wako vzr tangu mwanzo. Me naamini kabisa Simba au Yanga wanahela zipo kwa wapenzi...
  10. Kipenzi Changu

    Masikini Azam FC, nini hiki kinatokea msimu huu?

    Nashuhudia hapa game ya Azam FC na Namungo. Dakika ya 91 Azam ikiwa mbele kwa goli 2-1. Zikiwa zimeongezwa dakika nne Namungo wakapata kona. Dakika ya 94 Kikoti anapiga kona maridadi kabisa Steven Seyi anasawazisha. Sey anakera sana, anachomekea halafu anawapungia mkono. FT Azam Fc 2- 2 Namungo...
  11. Mwanamaji

    Adhabu ya FIFA kwa Simba na Kichuya: Namuona Kichuya kwenye mechi ya Azam dhidi ya Namungo. Adhabu ile ilifutwa ?

    Kutokana na sakata la usajili wenye utata wa mchezaji Shiza Kichuya kutoka Misri kwenda Simba, tumeambiwa hapa juzi tu kwamba Simba ilipigwa faini ya takriban milion miatatu na mchezaji tajwa kufungiwa miezi sita. Lakini namuona Shiza Kichuya kwenye mechi ya Namungo dhidi ya Azam hapa ameingia...
  12. N

    AZAM TV customer Care

    Hizi namba 0764700222,0784108000,0659072002 leo hazifanyi kazi?mnasherekea sikukuu? Tunataka huduma,kuweni serious bhana..Yaani unaambiwa ujague lugha unachakua afu inajirudia chagua lugha yaani no respond..Hacheni uzembe kitengo husika
  13. U

    TANZIA Thamra Kassimu wa Kampuni ya Azam Media Limited afariki dunia

    Tunatoa pole nyingi kwa familia === Uongozi wa Azam Media Limited, unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wake Thamra Kassim, kilichotokea mapema leo Dar Es Salaam.Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un.
  14. N'yadikwa

    Azam tunapenda muwe mnatuonesha matukio ya kimichezo ya live mbali na soka k.v. Marathoni na Jogging

    Nikiangalia televisheni za wenzetu za michezo hasa za super sport wenzetu huonyesha Marathon mbalimbali kwenye miji lakini hapa kwetu Azam kupitia chaneli zake imekuwa ikijikita zaidi kwenye soka na kidogo siku za karibuni wamekuwa wakituonyesha masumbwi. USHAURI WANGU KWENU Hizi jogging na...
  15. T

    Athari za Uchaguzi Mkuu, Azam TV wapandisha bei za vifurushi?

    Wakati wanazindua mzigo mpya 'Bazzika' walijifanya wanapunguza bei za vifurushi lakini kiukweli WAMEPANDISHA BEI. Hawa ni wapigaji kama wapigaji wengine. Wangebakiza channel za vifurushi husika kama zamani, kwa mfano: Vifurushi vilivyokuwa vinapatikana ndani ya Azam Lite ya Sh. 10,000/=...
  16. Shark

    Rasmi, leo ndio siku ya kuanza kudhulumiwa na Azam TV

    Wakuu, Azam Media wamekua wakijitangaza kua wameshusha Bei ya vifurushi vyao kuanzia leo. Asubuhi hii nimelipia kifurushi Cha 20,000/- ambayo ndio iliyokua 23,000/- lakin nimekuta channels kadhaa hazionyeshi. Baby TV, ESPN1, ESPN2, MBC4, Nickoledion Zote hizi nilikua nazipata kwenye kifurushi...
  17. Rchesse

    Naomba kujuzwa frequency mpya za Azam Tv

    King'amuzi changu kina Eutelsat 7B frequency, baada ya kuformat. Nasikia wamehamia Eutelsat sat 7C. Kwahiyo nikisearch channel zinazokuja ni Bloomberg, Universal Tv na Imaan Tv. Kwahiyo naomba anaejua frequency zao mpya anijuze.
  18. M

    Azam Tv na janja janja za bei za vifurushi vipya

    Ni ukweli usiopingika hawa jamaa wana vipindi vizuri vinavyopendwa na watanzania walio wengi.Hata hivyo ujio wa king'amuzi kipya mwezi ujao pamoja na mambo mengine ulizinduliwa na "uwongo" wa kile kilichodaiwa kushusha bei ya malipo ya vifurushi kwa mwezi. Hata hivyo, wakati nikiwasikiliza...
  19. kavulata

    Azam hawakufanya utafiti kabla ya kumfukuza kocha

    Kocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga. Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia...
  20. R

    Azam yamfuta kazi kocha wake

    diramakini.co.tz Goli la Yanga SC lamng'oa kocha Azam FC Diramakini 3 minutes Baada ya ushindi wa Novemba 25, 2020 ambao Yanga SC iliuchukua nyumbani kwa Azam FC katika uwanja wao wa Azam Complex uliopo nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, wachambuzi wa soka...
Back
Top Bottom