FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Hahahaha traffic watakula wapi sasa? Maana wakikuta iko na mpasuko lazima wale kichwaNilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Mbona side mirrors zimo mkuu! Au macho yangu mabovu...Nilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Mwenyewe nimeziona ndio maana nikashangaa.. zilikuwa tetesiMbona side mirrors zimo mkuu! Au macho yangu mabovu...
Hebu niyafikiche kwanza then narudi.
Inawezekana wamefunga na camera kama dual system ya kioo na kameraMbona side mirrors zimo mkuu! Au macho yangu mabovu...
Hebu niyafikiche kwanza then narudi.
Mercedes Benz washaanza nayo wanaiita MirrorEye. Sasa nikaambiwa na Scania 2020 wanazo kama Optional Package.Mbona side mirrors zimo mkuu! Au macho yangu mabovu...
Hebu niyafikiche kwanza then narudi.
Nimeona Asas tu ndo kafanya jeuri hyo bongo ana Actross hazina side mirrors halafu hata tano hazifikiNilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Yaani kabisa kumlinganisha mo na bakhresa ni udhalilishaji kabisa, mo hana levo za bakhresaHalafu eti bloangu Mwamedi na zile Bajaji zake zilizofungwa Injini za Machine za kusaga ndio Bilionea wetu namba moja..!!!
Huu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!Yaani kabisa kumlinganisha mo na bakhresa ni udhaliloshaji kbsa mo hana levo za bakhresa
Mi mwenyewe hata sielewagi kabisa nikisikia mo ni zaidi ya azamHuu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!
Hata Coca Cola wanazo naziona SanaNimeona Asas tu ndo kafanya jeuri hyo bongo ana Actross hazina side mirrors halafu hata tano hazifiki
Sijawahi kukutana nazo za Coca-Cola ila I bet watakua nazo ni company kubwa.Hata Coca Cola wanazo naziona Sana
Hapa inaweza kuwa kweli mwamedi anavuta mpunga mrefu maana kawekeza sehemu nyingi na kampuni tofauti ila mzee said Salim yeye ni one man show tuHuu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!
Hata Cocacola wana gari hazina side mirrors.Nimeona Asas tu ndo kafanya jeuri hyo bongo ana Actross hazina side mirrors halafu hata tano hazifiki
Mkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!Hapa inaweza kuwa kweli mwamedi anavuta mpunga mrefu maana kawekeza sehemu nyingi na kampuni tofauti ila mzee said Salim yeye ni one man show tu