arusha

  1. Msaada: naomba kujua haya kuhusu Chuo cha VETA Arusha

    Habari wakuu? Ninanyenyekea mbele zenu bila bughudha nina shida ya mawasiliano ya VETA Hotel and Tourism Training Institute - VHTTI kwa ambaye anafahamu, na pia hata kama hauna mawasiliano naomba unijuze kwa kozi ya Tour Guide ina bweni ama ni kutwa pekee? Maombi wanaanza kutuma lini na ada...
  2. Nafasi 20 za Kazi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Arusha (AUWSA)

    The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to...
  3. Arusha: Polisi waua majambazi watano. RC Gambo atoa pongezi

    Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shanna amesema kikosi cha jeshi la polisi Mkoani humo kimewaua majambazi sugu watano wakati wakijibizana risasi na polisi na kuwakuta na silaha aina ya Shotgun Pump Action 32265,Chinese Pistol,Bastola 1 bandia,risasi 11 pamoja na simu 2 & pikipiki 3...
  4. Arusha: Kampuni ya Sinohydro idhibitiwe

    Kampuni ya Sino hydro inajenga mradi wa maji taka jijini Arusha pamoja na maeneo ya jirani. Hata hivyo kampuni hii imekuwa kero kubwa kwa wakaazi wa Arusha kwa kuharibu miundombinu ya barabara za mitaani na mifumo mitaro ya maji ya mvua. Baadhi ya maeneo kama Njiro kuna mitaa haipitiki kabisa...
  5. M

    NSSF tawi la Arusha jiongezeni

    Hii ofisi kwanza haina mpangilio, wafanyakazi ni wazi hawapo organised au hawana experience au huenda hata hawajui daily to do list ya ofisi! Utoaji wa elimu niwe tu mkweli wale watoto mmejaza pale bado sana hawana uelewa huo wapigeni msasa, wapeni semina angalau. Ofisi haina hadhi yaani...
  6. TAKUKURU Arusha yawapandisha kizimbani 22

    Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Arusha imewafikisha mahakamani watuhumiwa 22 kwa tuhuma mbalimbali za vitendo vya rushwa katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2019. Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Arusha, Frida Wikesi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake...
  7. Fursa: Mdau kamata hii na uwekeze Arusha

    Mkoa wa Arusha ni moja kati ya mikoa yenye mzunguko mkubwa wa pesa ila una tatizo moja. Arusha ikiwa ni jiji lina tatizo la kuwa na asilimia kubwa ya vipanya (hiece) ambazo madereva wake nusu wazawa na nusu nyingine ni wale wa kuja wasambaa. Fursa: Usafiri kwenye jiji hilo unakuwa kero sababu...
  8. R

    Nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha imebadilika bila kutangazwa na SUMATRA

    Tangia mwezi Desemba nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha ilipanda kutoka 20,000 hadi 25,000. Mabadiliko haya hayakutangazwa na SUMATRA. Miaka miwili iliyopita nauli ya kutoka Loliondo mto wa mbu kwa bus ilikuwa 17,500 ikaja kubadilika kimya kimya ikawa 20,000 na sasa ni 25,000. Naomba...
  9. Vyoo Uhamiaji Arusha

    Katika "Harakat National ID" nilipita Uhamiaji mapema saa tatu na hii ni Hali ya vyoo vyao. Bibi Afya na Bwana Afya wakija kukagua kampuni binafsi wanatoza mi faini mikubwa huku vyoo vya serikali Hali Ni mbaya zaidi! Bwana Adrian hapo Uhamiaji nakukubali Sana kiutendaji hasa namna...
  10. Naomba kuja Website ya Mount Meru University Arusha

    Jamani napenda kuuliza kama Mount Meru University ina valid and reliable website? Maana inakuwa online siku tatu kisha mwezi mzima offline. Na hiki huo ubora wa elimu kina ubora gani ikiwa hata website hawawezi kuimaintain?
  11. T

    Safiri na mimi Arusha to Dar 8th Jan,2020

    Nitakua safarini kutoka Arusha kwenda Dar Es Salaam kesho jumatano tarehe 8/1/2020 mwenyewe kwa usafiri/gari binafsi. Nahitaji kampani ya kusafiri nayo (kampani utachangia mchango wa mafuta) katika safari hiyo. Kampani ikijua kuendesha au kuwa na uzoefu wa kusafiri mara kwa mara itapendeza zaidi.
  12. K

    Mwanasheria anatafutwa Moshi/Arusha

    Natafuta mwanasheria wa kujitegemea atakayeweza kuendesha mashitaka Moshi / Moshi nitafute 0756200028
  13. Pombe ya viroba mbona bado ipo Arusha

    Hallo wanaJF? Heri ya mwaka mpya. Hii ni wiki ya pili nashuhudia vijana wa hapa mtaani wakinywa pombe za kwenye karatasi almaarufu kiroba nikawauliza "Oya vipi machalii hizo zaga mmeokota jalalani nini? Wakanijibu Bushmamy mbona haya makitu yapo tele chuga hapa" Wanaendelea kaniambia, "Kama vip...
  14. TRENI DAR- ARUSHA MWEZI UJAO

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema kuanzia mwezi ujao wakazi wa Mkoa wa Arusha, wataanza kufurahia huduma ya usafi ri wa treni ya abiria. Kamwelwe alisema wakazi hao ambao walikuwa wakisikia usafiri huo kwa wenzao wa Mkoa wa Kilimanjaro, sasa wajiandae kupata...
  15. F

    X-Mass in pictures Moshi, Arusha, Dar, Mwanza, Dodoma, Mbeya, Tabora, nk

    Heri ya Xmass wana JF! Karibuni tusherehekee xmass japo kwa picha. Share picha za shamra shamra za xmass hapa kutoka popote ulipo, pamoja wana JF.
  16. Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr. Madeni akabidhi madawati 3,900

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Madeni amekabidhi madawati na Meza 3900 kwa Afisa Elimu Sekondari wa jiji hilo kwa ajili ya wanafunzi wapya wanaoijunga na elimu ya sekondari mwaka 2020 lengo ikiwa ni kuondokana na tatizo la uhaba wa madawati na meza. Akikabidhi madawati hayo, Dr.Madeni...
  17. Zelothe Stephen Zelothe achaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa CCM Arusha

    Wadau. CCM Mkoa Wa Arusha imepata Mwenyekiti Mpya Ambaye Ni Ndg Zelothe Stephen Zelothe kufutia Uchaguzi wa Kidemokrasia uliofanyika Leo. Matokeo Kamili: Ndg. Zelothe Stephen Zelothe Amepata Kura 468. Dkt Batilda Burian Amepata Kura 339. Ndg.Bakari Msangi Amepata Kura 48. Msimamizi wa...
  18. Dar Lux Arusha ni kweli basi zilizopo mpaka Jumatatu ni za 40,000? Hamko serious na kazi

    Jana saa mbili usiku nilifika ofisi za Dar Lux kujua tiketi za kupeleka watu Dar leo na kesho. Mdada mmoja bila aibu akasisitiza basi zilizopo ni za 40,000 eti luxury tu.. Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha Mamanager husika tuambieni ni kweli...
  19. Yule mama aliyekuwa diwani jijini Arusha amelalamika walikuwa wanatishwa na kutukanwa matusi ya nguoni. Je, Mbowe dikteta?

    Udikteta wa Mbowe unaendelea kuthibitishwa na yafuatayo kung'ng'ania Madaraka, kuua kufokea na kutisha wapinzani wake kulazimisha kanuni zilizo nje ya utaratibu wa Chama kuteua watu wa kabila lake kwa kuwapa nafasi za upendeleo kwa mfano Katibu mkuu Kuwa mkwilima wake Msemaji wa Chama kuwa...
  20. Madiwani wengine wawili wa CHADEMA jiji la Arusha watimkia CCM

    Hii imetokea Leo tarehe 6/12/2019 hii ni Taa nyekundu kwa CHADEMA
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…