Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,689
- 218,192
Unajua tulishasema tangu awali kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo shetani aliwahi kumshinda Mungu , huyu aliyekusanya umati huu anaitwa Godbless Lema , raia aliyewekwa jela kwa miezi minne bila hata kuhukumiwa.