arusha

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi The School of St Jude Arusha

    Position: Facilities Officer Ref: TSOSJ/ HR/BO/PR/FT/01/20 Location: Moshono Business Office, Arusha, TANZANIA. Job Summary The School of St Jude is an educational institution, entirely funded by charitable donations, that provides free, high-quality primary and secondary scholarships to...
  2. bucho

    JamiiForums Tanzania Nauza XBox One, nipo Arusha

    Natafuta mteja wa kumuuliza Xbox One, nipo Arusha . Ina memory ya 500gb pia ina inakuja na pads zake mbili na games tatu. Bei ni 550,000 ila inapungua kdg. Kwa maelezo zaidi njoo PM.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbegu za maboga katika masoko ya Dar es Salaam, Arusha na baadhi ya Mikoa ya Jirani

    Asalaam Wadau, Ni matumaini yangu mko salama na hongereni na kazi! Katika pitapita zangu nimeona kwa Sasa kuna ongezeko kubwa la uhitaji wa Mbegu za maboga baada ya kubainika kuwa zinamsaada mkubwa katika afya zetu na kuwa saidia wenye maradhi ya shinikizo la damu(BP),Wenye kisukari etc. Sasa...
  4. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Treni ya kwanza ya Abiria yawasili Arusha baada ya miaka 30

    Kwa mara ya kwanza Treni ya Abiria kwa ajili ya majaribio ya njia yawasili katika jiji Arusha Leo tarehe 26 Februari 2020. Ni baada ya reli hiyo kuacha kufanya kazi kwa muda wa zaidi ya miaka 30 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

    Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama ni Mhe. Godbless Lema Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu...
  6. Chibudee

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu. Kaisi aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na mkuu wa Wilaya, Mkoa katika Serikali ya Awamu ya Kwanza...
  7. Alhaji24

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanda cha madumu Arusha

    Samahan ndugu naomba kuuliza kiwanda cha madumu ya plastic kama litter 3 ,5 na 10 kama mnafaham kilipo plz me nipo Arusha
  8. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Rais Magufuli na 'Mama wa Arusha' je, ni nini kiko nyuma ya matukio kama haya?

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Israeli, Generali Joab Zeruiah alikuwa ni mtu ambaye hakujiamini katika nafasi aliyokuwa nayo. Kila wakati alihofu kuwa angeliondolewa katika nafasi ile hivyo alitumia njia za hila ili kulinda nafasi na masilahi yake! Kuna wakati alipohofia kuwa Mkuu wa Majeshi...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari watano mbaroni kwa tuhuma za rushwa

    Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha imewakamata askari watano akiwamo mmoja wa Uhamiaji kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa. Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Frida Wikesi akizungumza na Mwananchi leo Februari 11, 2020 ofisini kwake amesema polisi hao...
  10. mjusilizard

    JamiiForums Tanzania Msaada: naomba kujua haya kuhusu Chuo cha VETA Arusha

    Habari wakuu? Ninanyenyekea mbele zenu bila bughudha nina shida ya mawasiliano ya VETA Hotel and Tourism Training Institute - VHTTI kwa ambaye anafahamu, na pia hata kama hauna mawasiliano naomba unijuze kwa kozi ya Tour Guide ina bweni ama ni kutwa pekee? Maombi wanaanza kutuma lini na ada...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi 20 za Kazi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Arusha (AUWSA)

    The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to...
  12. beth

    JamiiForums Tanzania Arusha: Polisi waua majambazi watano. RC Gambo atoa pongezi

    Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shanna amesema kikosi cha jeshi la polisi Mkoani humo kimewaua majambazi sugu watano wakati wakijibizana risasi na polisi na kuwakuta na silaha aina ya Shotgun Pump Action 32265,Chinese Pistol,Bastola 1 bandia,risasi 11 pamoja na simu 2 & pikipiki 3...
  13. Kichumi

    JamiiForums Tanzania Arusha: Kampuni ya Sinohydro idhibitiwe

    Kampuni ya Sino hydro inajenga mradi wa maji taka jijini Arusha pamoja na maeneo ya jirani. Hata hivyo kampuni hii imekuwa kero kubwa kwa wakaazi wa Arusha kwa kuharibu miundombinu ya barabara za mitaani na mifumo mitaro ya maji ya mvua. Baadhi ya maeneo kama Njiro kuna mitaa haipitiki kabisa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania NSSF tawi la Arusha jiongezeni

    Hii ofisi kwanza haina mpangilio, wafanyakazi ni wazi hawapo organised au hawana experience au huenda hata hawajui daily to do list ya ofisi! Utoaji wa elimu niwe tu mkweli wale watoto mmejaza pale bado sana hawana uelewa huo wapigeni msasa, wapeni semina angalau. Ofisi haina hadhi yaani...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Arusha yawapandisha kizimbani 22

    Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Arusha imewafikisha mahakamani watuhumiwa 22 kwa tuhuma mbalimbali za vitendo vya rushwa katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2019. Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Arusha, Frida Wikesi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake...
  16. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Fursa: Mdau kamata hii na uwekeze Arusha

    Mkoa wa Arusha ni moja kati ya mikoa yenye mzunguko mkubwa wa pesa ila una tatizo moja. Arusha ikiwa ni jiji lina tatizo la kuwa na asilimia kubwa ya vipanya (hiece) ambazo madereva wake nusu wazawa na nusu nyingine ni wale wa kuja wasambaa. Fursa: Usafiri kwenye jiji hilo unakuwa kero sababu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha imebadilika bila kutangazwa na SUMATRA

    Tangia mwezi Desemba nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha ilipanda kutoka 20,000 hadi 25,000. Mabadiliko haya hayakutangazwa na SUMATRA. Miaka miwili iliyopita nauli ya kutoka Loliondo mto wa mbu kwa bus ilikuwa 17,500 ikaja kubadilika kimya kimya ikawa 20,000 na sasa ni 25,000. Naomba...
  18. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Vyoo Uhamiaji Arusha

    Katika "Harakat National ID" nilipita Uhamiaji mapema saa tatu na hii ni Hali ya vyoo vyao. Bibi Afya na Bwana Afya wakija kukagua kampuni binafsi wanatoza mi faini mikubwa huku vyoo vya serikali Hali Ni mbaya zaidi! Bwana Adrian hapo Uhamiaji nakukubali Sana kiutendaji hasa namna...
  19. Utingo

    JamiiForums Tanzania Naomba kuja Website ya Mount Meru University Arusha

    Jamani napenda kuuliza kama Mount Meru University ina valid and reliable website? Maana inakuwa online siku tatu kisha mwezi mzima offline. Na hiki huo ubora wa elimu kina ubora gani ikiwa hata website hawawezi kuimaintain?
  20. T

    JamiiForums Tanzania Safiri na mimi Arusha to Dar 8th Jan,2020

    Nitakua safarini kutoka Arusha kwenda Dar Es Salaam kesho jumatano tarehe 8/1/2020 mwenyewe kwa usafiri/gari binafsi. Nahitaji kampani ya kusafiri nayo (kampani utachangia mchango wa mafuta) katika safari hiyo. Kampani ikijua kuendesha au kuwa na uzoefu wa kusafiri mara kwa mara itapendeza zaidi.
Back
Top Bottom