Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 416
- 462
Wanabodi, napenda kupata uzoefu kwenu kuhusu hali ya msongamano wa watu wa kila siku za kazi za juma katika Idara hii ya Ardhi Jijini Dodoma ambayo haipunguwi kama wagonjwa wanaokwenda kutibiwa hospitali wakati wa mlipuko.
Nimekuwa mhanga pia wa kuhudhulia katika ofisi hiyo kwa Jambo moja kushindwa kuona faili la kiwanja changu ambacho nimekilipia mwanzoni mwa 2020 lakini Hadi naandika hapa, sijapata barua na viambatisho vya kupeleka kwa kamishina wa Ardhi.
Kwakweli ni kero. Hali siyo shwari katika idara hiyo.
Nimekuwa mhanga pia wa kuhudhulia katika ofisi hiyo kwa Jambo moja kushindwa kuona faili la kiwanja changu ambacho nimekilipia mwanzoni mwa 2020 lakini Hadi naandika hapa, sijapata barua na viambatisho vya kupeleka kwa kamishina wa Ardhi.
Kwakweli ni kero. Hali siyo shwari katika idara hiyo.