The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Nimeona tangazo waziri Lukuvi anasema wanakuja na utaratibu mpya ..
Viwanja ambavyo wenyewe hawapo kwenye sijui vitambulisho vya Taifa..watanyang'anywa na vitapigwa mnada...
Toka serikali ianzishe utaratibu wa kubadili policy zinazohusu ardhi na sheria zake karibu kila mwaka .. migogoro imeongezeka badala ya kupungua..
Wakati wa serikali ya wakoloni kulikuwa hakuna kabisa migogoro ya ardhi
Mtu akinunua kiwanja ndo keshanunua
Serikali za watu weusi ndo chanzo cha matatizo..mara offa ..ziko zaidi ya moja..
Mara hati zaidi ya moja kiwanja kimoja
Mara sheria zimebadilishwa zipo mpya zinasema hiki ...mradi kila siku matamko na sheria mpya zinazo ongeza tatizo badala ya kutatua...
Hii ndo Ile wazungu wanatuambia hatuwezi kujitawala...
Viwanja ambavyo wenyewe hawapo kwenye sijui vitambulisho vya Taifa..watanyang'anywa na vitapigwa mnada...
Toka serikali ianzishe utaratibu wa kubadili policy zinazohusu ardhi na sheria zake karibu kila mwaka .. migogoro imeongezeka badala ya kupungua..
Wakati wa serikali ya wakoloni kulikuwa hakuna kabisa migogoro ya ardhi
Mtu akinunua kiwanja ndo keshanunua
Serikali za watu weusi ndo chanzo cha matatizo..mara offa ..ziko zaidi ya moja..
Mara hati zaidi ya moja kiwanja kimoja
Mara sheria zimebadilishwa zipo mpya zinasema hiki ...mradi kila siku matamko na sheria mpya zinazo ongeza tatizo badala ya kutatua...
Hii ndo Ile wazungu wanatuambia hatuwezi kujitawala...