Room 28
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,046
- 1,691
Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa nilizopata, ukinunua ardhi kupitia serikali ya kijiji na unahitaji eneo kubwa, ekari moja inaweza kupatikana kwa takribani Shilingi 10,000.
Hata hivyo, ukinunua ekari moja au mbili kutoka kwa wananchi, bei yake huwa karibu Shilingi 20,000 kwa ekari."
Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!
Hata hivyo, ukinunua ekari moja au mbili kutoka kwa wananchi, bei yake huwa karibu Shilingi 20,000 kwa ekari."
Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!